Haya majina ya JF ifike mahala tuwe tunabadilisha

Haya majina ya JF ifike mahala tuwe tunabadilisha

Kwa hyo wewe unafikiria GENTAMYCINE anafanana na dawa?? ( just thinking aloud)

huyu jamaa ( GENTAMYCINE ) anaonekana ni so popular humu JF kwani nimegundua watu hupenda kumzungumzia na kumjadili sana. natamani na mimi siku moja nije kuwa popular kama yeye japo najitahidi kumfukuzia lakini simpati. nifah nasikia kuwa uko nae karibu sana na ndiyo maana wote mkawa maarufu humu JF vipi ni kweli?
 
wakuu habarini za wakati huu.

kuna hili swla la kutumia baadhi ya ID hapa JF kwakweli inabidi tuwe makini kidogo
Juzi nilipanda na mama mtu mzima tu kwenye basi kutoka dodoma kwenda morogoro, bila hiyana mama huyo aktoa smartphone yake na ku log in JF
kilichonifurahisha ni id yake aliyotumia japo sipendi kuandika hapa
ila just imagine alinaanza na miss......
wakati ukimuangalia ana approach uzeee!!!!
basi ifikie wakati tuwe tuna update majina kulingana na wakati mfano miss..... ukiona umri umeenda just change maana hamna namna au .....jr just change to senior sometimes

thank you so much for your attention ni hayo tu
Huyo @misschagga nini?
 
huyu jamaa ( GENTAMYCINE ) anaonekana ni so popular humu JF kwani nimegundua watu hupenda kumzungumzia na kumjadili sana. natamani na mimi siku moja nije kuwa popular kama yeye japo najitahidi kumfukuzia lakini simpati. nifah nasikia kuwa uko nae karibu sana na ndiyo maana wote mkawa maarufu humu JF vipi ni kweli?
Nasikitika mno na kulikotukuka nikisikia mtu akiitaja ID hii ya kipenzi changu popoma GENTAMYCINE ,tarehe 8 ifike tu maana nimem miss sana,sijui nimshawishi vipi apunguze ule mtaro wake wa maneno machafu.
(Angekuwepo angefurahia sana nilivyouliza sijui nimshawishi vipi)
Hahahahaaa.
 
i.d fake na majina ya ajabu ajabu ni moja ya chachandu hapa j.f, napenda sana hii kitu
 
kwani kunaubaya yeye kuendelea kutumia hilo jina....?
 
na wewe ulipaswa utoe smartphone yako u log in jf, then ujifanye kunakitu kina kusumbua kwenye hii layout mpya ya fb, halafu umwambie AH! KUMBE WEWE NDIYE MISS.....! hakyanani angebadili hiyo id haraka kwa invisible, na kama jf kungekuwa na option ya user kudelete mwenyewe ac yake, amini angefanya hivyo haraka!
 
na wewe ulipaswa utoe smartphone yako u log in jf, then ujifanye kunakitu kina kusumbua kwenye hii layout mpya ya fb, halafu umwambie AH! KUMBE WEWE NDIYE MISS.....! hakyanani angebadili hiyo id haraka kwa invisible, na kama jf kungekuwa na option ya user kudelete mwenyewe ac yake, amini angefanya hivyo haraka!
dah sipati picha hilo jina la invisible aki update itakuaje..🙄😕
 
Last edited:
Usinichoke mkuu, mbona kuna watu wameolewa na umri umeenda tu ila wanatumia au kuandikwa Ms? Natanguliza shukrani
Kwa kuwa ni kuelimishana, sikuchoki, nawe usinichoke. Nani mwenye title hiyo kwa watu maarufu tulioa nao hapa uswazi?
 
na wewe ulipaswa utoe smartphone yako u log in jf, then ujifanye kunakitu kina kusumbua kwenye hii layout mpya ya fb, halafu umwambie AH! KUMBE WEWE NDIYE MISS.....! hakyanani angebadili hiyo id haraka kwa invisible, na kama jf kungekuwa na option ya user kudelete mwenyewe ac yake, amini angefanya hivyo haraka!
Na wewe unatakiwa kuhuisha jina lako kwenda mkangag hahaaaaa
 
Back
Top Bottom