Bila kusuka na Kuvaa hereni za kuning'inia bila kusahau kurambaramba midomo nyimbo zimejaa matusi ata mvuto wa kuskiliza azinaSasa hivi naona wasanii wasipopaka mafuta ya kina mama mdomoni mambo hayaendi.
Daaa gangwe mob walitisha sana, kuna jiwe lao moja linakwenda kwa jina la "nje nje nje ndani" "nalikubali mpk sasa.
Najua nafsi yako inatamani sana
Inasubiri ahadi yetu kuwa bibi na bwana
Miaka inavyokwenda
Na dhiki zinazidi kutuandama
Na lengo letu lazidi kushindikana
Ila vumilia ndo hali ya dunia
Ipo siku ndoto yetu itatimia
Na lengo
Tmk wanaume family.
- mikono juu- amka
- dar mpaka moro
- chama kubwa
Nyimbo za sir nature zote.
Hizi nyimbo zikipigwa lazima niwehuke,
Tip Top Connection
- goma la manzese
- basi imba
Napo nawehuka kwa sanaaaah,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
kuna jamaa alikuwa na flow ya kipekee
enzi zetu matukio ya vijana kuoneana, ugomvi na ubabe yalikuwa mengi. ndio maana ilikuwa ni kawaida kwa kijana kutafuta jina la ziada linaloakisi mamlaka, ubishi, ununda, ushupavu na ujasiri.Inaonekana Gangwe mobb ilikuwa ni kundi la polisi maana
mainspekta na maluteni wapo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] surveyWalikuwa wanakaa saavei( iandike kizungu)
Kama unakumbuka vizuri tuanze na kuwataja wasanii wa kipindi cha 92-96, hiyo ndio ilikuwa kipindi Bongo flavour imeanza anza, na kina 2 Proud (Mr 2), D rob, Chief Rhymson, Nigga one, Eazy B and K-Single, Y thang, Fresh B, Gaddy Groove (Kwanza unit), Saigon Tripp Dog, Storm na Balozi dola soul (Diplomatz), KR, D chief na Easy Dope (GWM) Father Neli (Explastaz)Hao wasanii wote wajuzi tu mnaowataja bongo flavor wenyewe kama akina saigon mzee wa kalinye hamjamtaja, dola solo(dullah soul) mzee wa balozi bado nipo sijui kama jina halisi hujamtaja, huyo nature kabla tmk alikuwa nature wa jinsi kijana ft majani, enzi hizoo hatari sana
Bifu la zey b na sister pi na mwana FA ingekuwa vipiii
Waliishi pale Survey (njia ya kwenda UDSM)Kwanini walijiita UVC? Walikua madent au walikua pale Corner ya Chuo?
Nakubali mama la mama ni kwere sana kipindi hicho yaaniTmk wanaume family.
- mikono juu- amka
- dar mpaka moro
- chama kubwa
Nyimbo za sir nature zote.
Hizi nyimbo zikipigwa lazima niwehuke,
Tip Top Connection
- goma la manzese
- basi imba
Napo nawehuka kwa sanaaaah,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Inspekta Haruun kutoka hukoo sayari ya mars....!!!Kwa kipindi cha miaka ya 90’s mpaka 20’s ilikuwa ili msanii uweze kutoboa lazima ujiunge kwenye kundi lolote la muziki na ndio maana kwa kipindi hicho idadi ya makundi ilikuwa kubwa na yalidumu kwa muda mrefu,walikusudia kuifanya Tanzania kuwa "Taifa la hip hop’’, vijana kuondokana na maisha ya mtaani.
Haya ni baadhi makundi ambayo yalifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuukuza muziki wetu na kuacha alama mpaka sasa.
1. Kwanza Unit (KU Creaw).
Kwanza Unit lilikuwa kundi la mwanzo kabisa la muziki wa hip hop na lilianzishwa mwaka 1990, liliundwa kutokana na muunganiko wa makundi matatu, KBC, Eazy-B, Fresh-G na D-Rob ni baadhi ya wasanii wa KUC ambapo awali walikuwa wana-rap kwa kiingereza lakini baadae walibadilika na kutumia Kiswahili.
2. Gangwe Mobb.
Temeke Mikoroshini ndiko maskani ya kundi hili yalipatikana na lilianzishwa mwishoni mwa miaka ya 90 punde baada ya Kwanza Unit, Mr. II na wengineo kuchangia muziki wa hip hop wa Kiswahili nchini kujipatia umaarufu, huku Inspector Haroun na Luteni Karama ndio walikuwa wanakikundi.
3. Hard Blasters.
Ujumbe wao kupitia muziki ulibadilisha mtazamo wa jamii na kuamini kuwa kufanya muziki sio uhuni ni ajira/kazi.
Fanani, Crazy One, Professor Jay, KC1, Trigger F na Tuff Jam waliunda kundi hilo na waliachia album kadhaa “Funga kazi, Tuko nyuma kimaendeleo nakadhalika
4. TMK Wanaume Family.
Ni moja ya kundi lililoleta mapinduzi makubwa kwenye muziki wa kizazi kipya tangu kuanzishwa kwake Septemba 16, 2002 mjini Mwanza, wakati wa uzinduzi wa album ya Juma Nature ‘’Ugali’’ mpaka sasa limejijengea umaarufu mkubwa kutokana na mtindo wao wa kucheza ujulikanao ‘Mapanga’.
5. Chemba Squard.
Hili ni miongoni mwa makundi yaliyokuwa na wasanii wenye vipaji na uwezo wa hali ya juu sana tangu walipoingia rasmi sokoni mwaka 2000, liliundwa na Noorah (Baba Stylz), Dark Master, The late Mez B na Mangwair, wote walikuta shule ya Sekondari Mazengo Dodoma.
6. East Coast Team.
Linaundwa na wasanii Ay, Mwana FA na Crazy GK ambao walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuleta mabadiliko kwenye game kuwa ya kisasa zaidi, makazi yake ni Upanga mashariki.
Yapo mengi sana wahenga wenzangu mnaweza kuendelea kuyataja karibuni sana wahenga.
Wazee wa #Kamanda na #barua ni noma sanaUmesahau daz nundaz dah kwel mziki ulikua mziki
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sawa mkuu heshima kwakoNUTA Jazz
Kilwa Jazz
Tabora Jazz
Dar International
Safari trippers
Moro Jazz
Kwa sisi wahenga, nimeona msamiati WAHENGA umetumika pasipo mahala pake.
Bwanaweee, inspecta harun na mwanawe luten kalama walitisha sna kwenye hii zamaLingine lile la "life ya uswazi"maisha passport size
Ukweli mtupu,enzi zetu matukio ya vijana kuoneana, ugomvi na ubabe yalikuwa mengi. ndio maana ilikuwa ni kawaida kwa kijana kutafuta jina la ziada linaloakisi mamlaka, ubishi, ununda, ushupavu na ujasiri.
ilisaidia sana kuwapa hofu wapinzani wako kama wangekuwa na dhamira mbaya juu yako. jina lilikuwa linasaidia kukuongezea ulinzi.
Na sifa kuu ili uwe mwana wa kitaa enzi hizo lazima uvute bangi tofauti na hapo unaonekana mtoto wa mamaenzi zetu matukio ya vijana kuoneana, ugomvi na ubabe yalikuwa mengi. ndio maana ilikuwa ni kawaida kwa kijana kutafuta jina la ziada linaloakisi mamlaka, ubishi, ununda, ushupavu na ujasiri.
ilisaidia sana kuwapa hofu wapinzani wako kama wangekuwa na dhamira mbaya juu yako. jina lilikuwa linasaidia kukuongezea ulinzi.
Mziki ulikua katika hatam yakeWazee wa #Kamanda na #barua ni noma sana