cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi naona wasanii wasipopaka mafuta ya kina mama mdomoni mambo hayaendi.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi naona wasanii wasipopaka mafuta ya kina mama mdomoni mambo hayaendi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu Temeke kwenyewe nimekujua ukubwani, tena last yr.Wewe utakuwa wa Temeke
Mziki ulikua zamani jamani, ukipigwa sehemu lazima mtu unahaha, yaan mie bila mshua kuingilia kati, nisingekua hapa, nlishalowea kwenye madisco. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakubali mama la mama ni kwere sana kipindi hicho yaani
Kim and the boyz (rankim )huku choggysly kule kalikali mji uliwaka moto.Diplomatz, wagumu weusi asilia,sosy b
Enzi hizo ukienda donbosco kusaga anakuja anafanya udj akiwa na bony pembeni kuna mhamasishaji taji liundi
Zamani vijana walikuwa wanajipanga bana
Ova
Kim& the Boyz wao ndiyo walikuwa wanaanda matamasha ...mambo yalikuwaKim and the boyz (rankim )huku choggysly kule kalikali mji uliwaka moto.
👏👏Manzese crew
Gwm
Cbm crew
Big dogg pose
Dolphin pose
Bon cruz
Tng squad
Uswahilini matola
Sgf
Mbona sijawaona hapo? [emoji2375][emoji2375][emoji2375]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nina upara
pamba za zakiem mbagala
Nipo na mamaa wote tunang'aa
Anadai mkononi na chupa ya chang'aa
Aliyekuja na ngedere amtoe out
Kwani humu ndani anazua varangati
Inspekta Haruun kutoka hukoo sayari ya mars....!!!
Acha tu+
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu Temeke kwenyewe nimekujua ukubwani, tena last yr.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mziki ulikua zamani jamani, ukipigwa sehemu lazima mtu unahaha, yaan mie bila mshua kuingilia kati, nisingekua hapa, nlishalowea kwenye madisco. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Umesahau "asali wa moyo"?Daaa gangwe mob walitisha sana, kuna jiwe lao moja linakwenda kwa jina la "nje nje nje ndani" "nalikubali mpk sasa.
Dah..nakumbuka show ya fiesta Mwanza mwaka 2002 kama sikosei hawa Sold ground family walikimbiza kinoma show ilikuwa live radio Clouds Fm enzi hizoSolidi graundi famili ii
Ndani ya bushipati
Wasanii wengi wa zamani wamechoka sana nahisi kipindi hicho wasanii walikuwa bado hawajajua kutumia vizuri wanachopata lakini pia hakukuwa na hizi You tube hivyo msanii alitegemea show tu na viingilio vilikuwa elfu tatu mpaka elfu mbili sasa hapo utoe pesa ya promoters, usafiri, maandalizi nk.Aisee ile pini kali sana. Popote kambi babuu weka maskani.
Nilikutana na Inspector Haroun sikumoja hapo Ubungo darajani kabla hawajaanza kujenga ilo flyover. Dah. Nilisikitika sana.
Umenikumbusha mbali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]LWP_
mke wa mtu ni simu