Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Usawa ni mgumu hata ukivuta ndumu (yeaah)
Ikizidi sana ujue utakunywa sumu (yeaah)
Eee ngangari
waah waah
watu kumbe ngangari
wansegeju...

Gangwe Mobb - Ngangari

View attachment 1783458

Hawa jamaa kweli zaidi ya 60% walichokuwa wanaimba nilikuwa sielewi. Sijui walikuwa wanaimba kiswahili na kilugha? 😀
Hili nadhani ndio bonge la hardcore rap..haitawahi kutokea mtu kuimba ngoma ngumu kama hii, biti limeshiba haswaa...sijui Inspector alikuwa alitoa wapi maneno yale. Mwanzo mwisho huelewi kitu. Ile rap ya uswahilini pure.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hili nadhani ndio bonge la hardcore rap..haitawahi kutokea mtu kuimba ngoma ngumu kama hii, biti limeshiba haswaa...sijui Inspector alikuwa alitoa wapi maneno yale. Mwanzo mwisho huelewi kitu. Ile rap ya uswahilini pure.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakika mkuu, ile ngoma ni kali sana. Hardcore rap ilioakisi maisha halisi ya uswahilini.
Watu wengi hawakuelewa maneno mengi ya mule ila ukitaka kujua inspector ni kichwa mwambie akupe maana ya mstari kwa mstari kwenye ule wimbo.
 
Mziki wa Bongo umejijenga kikanda sana, wakati Dar wakiwa na makundi hayo sisi Arusha tulikuwa na yakwetu tuliyoyahusudu mfano

- HARDCORE UNIT (Lord Eyez + JCB)

- WATENGWA (JCB, Chindo, Donii, et al)

- WATURUTUMBI (Stopa et al)

- NAKO 2 NAKO (Lord Eyz, Bou Nako, G Nako, Vato, Da hustler et al)

-RIVER CAMP (Joh Makin, Bonta, Nikki wa II, Gentriz, et al)

- MauMau (Wakenya ila walikua na impact sana Chuga)

Hawa jamaa walituharibu sana akili [emoji23][emoji23] na naweza sema hawa ni sababu Arusha vijana wake wapo hivi walivyo. Faza Nelly ana nafasi yake ila hawa walionesha njia sana kuwa mziki wetu unaweza kufika Dar na kukubalika na matokeo ndio tunaona sasa hivi
 
Mziki wa Bongo umejijenga kikanda sana, wakati Dar wakiwa na makundi hayo sisi Arusha tulikuwa na yakwetu tuliyoyahusudu mfano

- HARDCORE UNIT (Lord Eyez + JCB)

- WATENGWA (JCB, Chindo, Donii, et al)

- WATURUTUMBI (Stopa et al)

- NAKO 2 NAKO (Lord Eyz, Bou Nako, G Nako, Vato, Da hustler et al)

-RIVER CAMP (Joh Makin, Bonta, Nikki wa II, Gentriz, et al)

- MauMau (Wakenya ila walikua na impact sana Chuga)

Hawa jamaa walituharibu sana akili [emoji23][emoji23] na naweza sema hawa ni sababu Arusha vijana wake wapo hivi walivyo. Faza Nelly ana nafasi yake ila hawa walionesha njia sana kuwa mziki wetu unaweza kufika Dar na kukubalika na matokeo ndio tunaona sasa hivi
Daaamn Watengwaaa, umenikumbusha mbali sanaaa!
Hivi Stopa The Rhyme Maker alipotelea wapi ???
 
Dooh kuna siku nilikua Tanga Lushoto nikamuona Mkoloni,mchizi kachoka kinyama kachakaa balaa!!
Aisee ile pini kali sana. Popote kambi babuu weka maskani.

Nilikutana na Inspector Haroun sikumoja hapo Ubungo darajani kabla hawajaanza kujenga ilo flyover. Dah. Nilisikitika sana.
Inasikitisha, hawa watu walipaswa wapate elimu ya ujasiriamali, afya, investment na pia wangepunguza starehe wakati ule.

Walivuma sana, walipata pesa sana lakini karibu wote ukikutana nao leo wanatia huruma.

Juma Nature, I. Haroun, TID, Ferooz na wengine
 
Inasikitisha, hawa watu walipaswa wapate elimu ya ujasiriamali, afya, investment na pia wangepunguza starehe wakati ule.

Walivuma sana, walipata pesa sana lakini karibu wote ukikutana nao leo wanatia huruma.

Juma Nature, I. Haroun, TID, Ferooz na wengine

Juma Nature mtoe kwenye hii lawama Mkuu. Kiroboto yupo vizuri sana kiuchumi sema ni vile anajiweka.
 
Ndo vilinganishi vyenu , huku mkiponda mziki wa sa hv na mkijiita wajanja ..anyway, no more room for such noise shit....!!!
Can somebody shoot this little punk for me please!
 
WATEULE - Jafarai, Mchixi Mox (watatu sijui likuwa anajiita Mlinzi Mkuu? 😀)

Nipende au Nichukie..


Watu Kibao..
 
Wakuu hivi ni simu nayotumia ama! Mfano kwenye hii shot niliyo ambatanisha, nikibofya attachment haifunguki inanipeleka kwenye menu ya "general forum". Naomba mwenye uelewa anisaidie
Screenshot_2021-05-15-16-06-42-763_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Wakuu hivi ni simu nayotumia ama! Mfano kwenye hii shot niliyo ambatanisha, nikibofya attachment haifunguki inanipeleka kwenye menu ya "general forum". Naomba mwenye uelewa anisaidie View attachment 1786023
Hili tatizo hata mimi kwangu lipo mkuu na nilamuda mrefu sana mods mpaka leo hawajawahi kutoa majibu nini shida.
 
Hili tatizo hata mimi kwangu lipo mkuu na nilamuda mrefu sana mods mpaka leo hawajawahi kutoa majibu nini shida.
Unajua nishaenda hadi kwenye settings za JF app kucheki cheki nione labda kuna kitu kinazuia sikuambulia chochote. Kumbe isharipotiwa ila moderators hawana majibu, aisee basi nikadhani ni kwenye simu yangu tu.
 
Mziki wa Bongo umejijenga kikanda sana, wakati Dar wakiwa na makundi hayo sisi Arusha tulikuwa na yakwetu tuliyoyahusudu mfano

- HARDCORE UNIT (Lord Eyez + JCB)

- WATENGWA (JCB, Chindo, Donii, et al)

- WATURUTUMBI (Stopa et al)

- NAKO 2 NAKO (Lord Eyz, Bou Nako, G Nako, Vato, Da hustler et al)

-RIVER CAMP (Joh Makin, Bonta, Nikki wa II, Gentriz, et al)

- MauMau (Wakenya ila walikua na impact sana Chuga)

Hawa jamaa walituharibu sana akili [emoji23][emoji23] na naweza sema hawa ni sababu Arusha vijana wake wapo hivi walivyo. Faza Nelly ana nafasi yake ila hawa walionesha njia sana kuwa mziki wetu unaweza kufika Dar na kukubalika na matokeo ndio tunaona sasa hivi
Ukoo flani Maumau[emoji91]
 
Stopa yupo Dar na mishe zingine mziki si kivile tena. Unajua stopa haamini sana ishu za ukanda kama wenzake wengi hata kundi lao ni kama limepowa sana saivi.
Hivi kumbe hawa jamaa wa Kaskazini wana hizo pigo za Ukanda ???
Mimi nilijua watu wanawasingizia na kuwapiga majungu tu......
 
Back
Top Bottom