Haya mambo ikiwa umetokea familia masikini hauwezi kuyajua.

Haya mambo ikiwa umetokea familia masikini hauwezi kuyajua.

Wauzaji wa containers

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
615
Reaction score
1,443
Katika MAISHA ikiwa umetokea familia masikini unaweza kuwa na haya mawazo au fikra hizi.

Pesa au mali za urithi zinaweza kukufanya na wewe kuwa na mali.

Ni rahisi Sana kuzaliwa ukiwa mtoto wa kishua Ila kuwafanya watoto wako na wajukuu zako kuwa wakishua. Inakuhitaji Kuwa na maono katika kuzalisha Pesa na Mali.


Ukiwa masikini unakuwa Una amini msaada ni pesa tu na sio ideas, kumbe ni kinyume ukipata pesa bila ideas lazima uishiwe pesa.

Stress za maisha - ukiwa masikini unakuwa unaamini matajiri hawana stress na msongo wa mawazo jibu sio kweli .

Ukiwa na PESA Ila hauna kitu chochote Kama potential , value n.k bado unaitwa Masikini.

Mimi nimepata bahati ya kukulia familia bora , na pia nimepitia na MAISHA ya umasikini

Niseme tu tajiri anapambana ili kuokoa na masikini anapambana ili kujiokoa. Hivyo ikiwa wewe ni masikini jitahidi upambane ili kuokoa WATU utaanza kupata mwanga katika Maisha.
 
Apa na pambana kuutema uraia wa Tz mazima, nitakua nimeokoa kizazi changu for sure.

Dunia nzima maisha yanafanana utofauti ni katika kuwaza na kutenda.

Ukikaa ulaya utaona wazungu wapo depressed kwakuwa wanaona wamezungukwa na watu ambao hawana furaha na wanawaza namna ya kuwasaidia.

Ukija Africa watu wana stress kwakuwa matumbo yao yapo na njaa


Kuokoa
Kujiokoa

Kujiokoa -utakufa au usipokufa utakuwa dumber

Kuokoa - utakuwa hero shujaa na mshindi
 
Dunia nzima maisha yanafanana utofauti ni katika kuwaza na kutenda.

Ukikaa ulaya utaona wazungu wapo depressed kwakuwa wanaona wamezungukwa na watu ambao hawana furaha na wanawaza namna ya kuwasaidia.

Ukija Africa watu wana stress kwakuwa matumbo yao yapo na njaa


Kuokoa
Kujiokoa

Kujiokoa -utakufa au usipokufa utakuwa dumber

Kuokoa - utakuwa hero shujaa na mshindi
Upo sahihi sana ila ni bora kuishi kwa uhuru ,kuliko kuishi kwa kutumikishwa ili wachache waishi vizuri.
 
Katika MAISHA ikiwa umetokea familia masikini unaweza kuwa na haya mawazo au fikra hizi.

Pesa au mali za urithi zinaweza kukufanya na wewe kuwa na mali.

Ni rahisi Sana kuzaliwa ukiwa mtoto wa kishua Ila kuwafanya watoto wako na wajukuu zako kuwa wakishua. Inakuhitaji Kuwa na maono katika kuzalisha Pesa na Mali.


Ukiwa masikini unakuwa Una amini msaada ni pesa tu na sio ideas, kumbe ni kinyume ukipata pesa bila ideas lazima uishiwe pesa.

Stress za maisha - ukiwa masikini unakuwa unaamini matajiri hawana stress na msongo wa mawazo jibu sio kweli .

Ukiwa na PESA Ila hauna kitu chochote Kama potential , value n.k bado unaitwa Masikini.

Mimi nimepata bahati ya kukulia familia bora , na pia nimepitia na MAISHA ya umasikini

Niseme tu tajiri anapambana ili kuokoa na masikini anapambana ili kujiokoa. Hivyo ikiwa wewe ni masikini jitahidi upambane ili kuokoa WATU utaanza kupata mwanga katika Maisha.
Asante sana mleta mada.
Umasikini ni nini (what is poverty)??

Nani anawajibika na umaskini wako au umaskini wa mtu mwingine??

UMASIKINI sio jambo dogo, umaskini upo kwenye mentality, thinking and beliefs

Nilishawahi kukaa na team flan ya watu kutoka Newziland at leat for one week nikiwa nao Mwaka 2009

Wakawa wananiuliza kwa nini nie ni maskini?? Wakasema wao wangekuwa wanaishi huku wangekuwa mabilionea kwa sababu ya uwepo wa ardhi nzuri na kubwa

Back to point: people are poor not because they dont have resources BUT they think incorrectly.

Watu wengi hawana vision and success ends kwenye maisha. Kwa maana hiyo, watu ni mafukara tu na sio maskini.

Maskini is a relatively term, ni mtu asie na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya msingi (living below poverty line), nasema ni relative term maana ukiitwa maskini maana yake resources au obstacles kuzitumia ili ujikwamue

Fukara ni mtu mwenye resources lakini hana uwezo wa kiakili kuharness production, mf mtu anayo mashamba makubwa ila kila mwaka familia yake inalizwa na njaa.

Infact, watanzania wengi ni mafukara, maana resources wanazo ila hawana akili ya kuzitumia kwa sababu

1. Wazembe
2. Hawana vison na
mipango (Hawana akili)
3. Thinking Culture ( hii ndio hatari sana). Hii ina maana, watu hufikiri kulingana na tamaduni za eneo husika, mfano, umeshawahi kukuta kijiji cha walevi, washerati, wezi, nk yaani kwenye eneo hilo ukiwa na tabia hizo, unakuwa mwema kwao ila kama una mwazo tofauti wanakuona sio mwenzao

KUna vitu vitatu ninawaza ni mhimu kwa ajili ya kuondokana na umaskini

1. Akili (inampasa mtu kwluwa na akili (sio Elimu), yaan Intellect not education. Elimu ni mhim ku top up intellect ( for vision, logic and end success of plans

2. Rasilimali. Raslimali kwa mantiki hii inahusisha fedha na vitu vyote unavyoweza kuvitumia kuzalisha. Reasoning and logic for the use of resources should correctly predict the ends (matumizi sahihi ya raslimali ikiwemo ardhi

3. Mtazamo mpya (transformation). Watu wanaishi hivo kwa kuwa wanaamini hivo. Mfano, zipo sababu ambazo watu wanazifaham wao kuwa hizo ndizo sababu ni kwa nini ni maskini, wapo wanaoamini ni maskini kwa kuwa hawana mitaji, wana laana na mikosi, wanalogwa ili wasifanikiwe nk, ila ukweli ni kwamba hawana akili (they dont use correctly their intellect), hata wanapopata fedha zinakwisha kwa kuwa hawana akili.

Akili (intellect + education) ni mhimu sana kwa ajili ya matumizi sahihi ya success ends.

WE NEED MINDSET TRANSFORMATION FIRST BEFORE WE WISH SUCCEED
 
Back
Top Bottom