Haya mambo ya kipumbavu mmeyalea wenyewe, mnacholalamika ni nini?

Mtoa mada hatetei ujinga! Isipokuwa anataka mashabiki tuwe na umoja linapokuja jambo linalo haribu taswira ya mpira wetu.
Jana niliamzisha mada ya kupinga maamuzi Yale dakika 3 Tu baada ya tukio. Lakini Napo watu waligawanyika kishabiki. Nimekuwa na Tabia ya kuwapinga marefa bila kujali ukubwa wa Mechi. Kuna nyuzi nilianzisha Mechi ya Ihefu v Prison, Singida BS v Mtibwa nk. Marefa wa Tanzania wanajificha kwenye kichaka cha utetezi wa kinafiki wa mashabiki uchwara, lakini tungekemea Kwa pàmoja wangejifunza maana uwezo wao ni wa chini Sana. Florentina Zablon si refa wa kupewa Beji ya FIFA labda kama alipewa Kwa upendeleo wa kijinsia. Mwingine ni Mwandembwa mpaka nimemuanzishia Uzi juzi.
 
Sio kweli. Mleta mada ameandika kama vile Yanga ndio mara ya Kwanza kubebwa. Kama ni umoja basi ilitakiwa uanze sasa, yaani ukemee maamuzi mabovu yalikufaidisha la sivyo ni unafiki na wengine watafanya hivyo hivyo Kwa timu zao
Mimi nimekuwa nikifanya hivyo naanzisha nyuzi za kuwakosoa marefa hata Mechi ndogo lakini napata uungwaji mkono mdogo Sana.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Nyie mmefaidika mara ngapi na hao marefa? Mbona ulikuwa unakenua tu na kujimwambafai? Wakati yanga wanalalamikia kunyimwa magoli yao si mlikuwa mnasherehekea, leo hii mmepatwa na nini?
 
Kwa yanga kilicho halali kwao ni haramu Kwa wengine ila ni timu inayoongoza Kwa kuharibu ligi ndio maana wanaumbuka kimataifa
 
Unbeaten ya propaganda si ya ubora.

Ubora unapimwa kwa kucheza mechi za kimataifa.

Tunajua usipokuwa bora,unaweza kupata tu ushindi kwa nchi hii.Ila kipimo sahihi ni pale utakapocheza mechi za kimataifa.
 
Yanga walilalama kwa makosa yasiyoonekana, wao hawakua na uwezo wa kushinda lakin walitamani kushunda kupitia tension ya wadau, makosa ya sasa yanaonekana na wao wanayafurahia sababu tu yamekua advantage kwao, mda utasema tena tuupe tu nafasi
Tena pamoja na kulalamika sana,bado wao ndio waliokuwa wananufaika kuliko mtu yeyote na makosa ya waamuzi.

Hii timu inadhani ina u special fulani hapa nchini kwa hiyo wanataka kuwa treated tofauti.
Simba wanaminywa mara kadhaa lakini hutasikia wanalalamika hovyo.
Hii mnayosikia sasa,ni tunataka tuwaonenye wazi hizo sifa mnazozitaka za unbeaten ni za uongo si ubora.

Hata timu za nje wameshajua hawawaogopi mtapigwa tu,hamna namna
 
Mtoa mada hatetei ujinga! Isipokuwa anataka mashabiki tuwe na umoja linapokuja jambo linalo haribu taswira ya mpira wetu.
Mnaharibu nyie na viongozi wa timu yenu kwa kuhonga,halafu unataka tuamini ni makosa ya waamuzi pekee?
 
Mbona karibia mashabiki wote wa Yanga wamekiri hiyo penati ilistahili kuwa adhabu ndogo!

Ila nyinyi sasa ndiyo mnakaza shingo na kusema refa amehongwa, na huku mkitambua fika waamuzi wengi wa ligi yetu ni kichomi!
Tuliwaambia mapema kuwa mmejaribu kumhonga Ntibazokiza mkashindwa,na hivyo mkahamia kwa waamuzi.
Tena mliopanga mfunge dk ya 44 kama script ingeenda sawa,ila mlifunga dk ya 46.
Hii ni michezo ya kuigiza
 
Tuliwaambia mapema kuwa mmejaribu kumhonga Ntibazokiza mkashindwa,na hivyo mkahamia kwa waamuzi.
Tena mliopanga mfunge dk ya 44 kama script ingeenda sawa,ila mlifunga dk ya 46.
Hii ni michezo ya kuigiza
Ata goli la Mkude dhidi ya Prison Simba ilitoa Bahasha Kwaiyo Kila mmoja ajivunie Bahasha zake.
 
Tuliwaambia mapema kuwa mmejaribu kumhonga Ntibazokiza mkashindwa,na hivyo mkahamia kwa waamuzi.
Tena mliopanga mfunge dk ya 44 kama script ingeenda sawa,ila mlifunga dk ya 46.
Hii ni michezo ya kuigiza
Kuna game nikiikumbuka nachekaga sana ile ya biashara na makolo kule mara
 
Kuwa shabiki wa mpira tz inahitaji uwe na kiwango cha lami cha upumbavu ndio utainjoy, lakini ukiwa mjinga waweza elimika ukauchukia mpira, keep it up
 
Mwananchi mwenzangu ulieleta huu uzi unajua maana ya mbumbumbu????hapa umepoteza muda tu, mbumbumbu ana akili za kuvukia barabara tu, mbumbumbu fc ndivyo walivyo
 
Kuwa shabiki wa mpira tz inahitaji uwe na kiwango cha lami cha upumbavu ndio utainjoy, lakini ukiwa mjinga waweza elimika ukauchukia mpira, keep it up
Apo wewe upo kundi gani?mjing.a au mpumbav?
 
Simba hailalamiki ww ni shabiki wa kiluvya fc?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…