Haya mambo ya kublock wapenzi wenu ni ushamba narudia tena ni ushamba

Haya mambo ya kublock wapenzi wenu ni ushamba narudia tena ni ushamba

La mgambo likilia ujue kuna jambo.
Ila kwani we ukisikia blockchain hua unaelewa nini mjukuu wangu?
 
Hongereni sana [emoji23] kwa ulivyomuita nina imani amesikia...


Nampenda ila sijawahi mpiga tofali [emoji23] akinikasirisha nafuta namba na mapicha picha yote. Tukiwa sawa naanza kuomba picha upya tu.

Daaaa aiseee wewe ni kama mimi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom