GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
jana jioni nimetoka ofisini late kidogo tupo moja ya majengo machache marefu sana hapa DSM. basi nimeingia kwenye lift ghorofa ya pili kutoka juu ndani nikamkuta dada mmoja mrembo hasa.ile lift imefunguka tu naingia hivi nakutana naye anamalizia kutoa gesi (kujamba)
kiukweli hali ya mle ndani ilibadilika hasa... ukichukulia lift inavyokuwa mmejifungia.basi nlimwona yule dada akinitizama kwa aibu na huku akitembeza tembeza macho kama mgonjwa wa dege dege.basi nami nikaona ndo sehemu hiyo hiyo ya kumchokoza nikamwuliza "naona leo lunch ilikuwa bab kubwa?" akauliza huku akijizuia kucheka "kwanini?" nikamjibu huku nikimtizama usoni kiuchokozi "naona unatoa tu gesi mdada wa watu, tukifungiwa humu dk 10 mi naweza kufa au kuzimia...." aliangua kicheko na kusema "heeeeehhh ..... we kaka wewe.......yatakushinda...umeajuaje kama ni mimi" yule dada alicheka mpaka machozi yakawa yanamtoka. tumefika chini dada bado anacheka nami nikasema kimoyo moyo simwachii huyu kimwana.
basi nikawa naongozana naye analekea alipo park gari nikasimama naye kumsemesha. alikuwa ananitizama anacheka anafuta machozi sasa alikuwa anacheka kwa uhuru si kwa pozi zile za kisister du. nikaendelea kumsemesha "hicho chakula walichokulisha leo.. kimesababisha utoe gesi ambayo haiendani hata na hadhi na sura yako" akanitizama na kujibu "nyooooo..... kwenye kupuu kuna hadhi.... hebu niache mie niende zangu"
nlicheka kidogo na kumwambia "naitwa H........" huku nikimpa mkono. kiukweli nlimshtukiza so hakupata hata muda wa kudanganya jina kama ni mwenye tabia hizo. akanijibu naye " i am......" basi nikamwambia kesho lunch ipo juu yangu "sitaki tena wakalichafue tumbo lako here is my biz card" akachukua akaweka kwenye pochi yake na kwa uungwana pia akatoa yake akanipa. basi nikamfungulia mlango wa gari lake maana alikuwa amesha unlock... akaingia nikafunga nikaondoka bila hata kugeuka nyuma.
leo hii nimeenda kupata naye mtoto mzuri wa huku posta lunch.alivyo mstaarabu pamoja na mimi kumtoa lunch aligoma nisilipie vinywaji.she paid for drinks. tumepiga stories sana ya jana anasema kila akikumbuka anataka kufa kwa kicheko.binafsi si mtu ninayejua sana kucheka ila hupenda kuona mtu akicheka.so nikajikuta namtizama tu natikisa kichwa. nimepata rafiki katika mazingira ya kijinga sana.
nlikumbuka nami kuna kosa kama hil niliwahi fanya ofisini. nlijisahau nikaona nitoe gesi... hazikupita sekunde dada mmoja mrembo alikuwa amesimama mlangoni ana knock anataka kuingia. nlimwahi haraka sana pale mlangoni nikamwambia anisubiri kidogo kuna kitu nafuata nje then ntamruhusu aingie.nikaenda sehemu kwnza kutulia...then nikarudi ofisini kucheck hali ya hewa ikoje.nikapulizia na air freshener then nikamkaribisha.
usiombe uwe umetoka tu kutoa gesi kwenye lift halafu kuna watu wanaingia wanakukuta wewe...utatamani ushuke haraka sana.... maana kila mtu atajua tu ni wewe umechafua hali ya hewa kwenye lift.
kiukweli hali ya mle ndani ilibadilika hasa... ukichukulia lift inavyokuwa mmejifungia.basi nlimwona yule dada akinitizama kwa aibu na huku akitembeza tembeza macho kama mgonjwa wa dege dege.basi nami nikaona ndo sehemu hiyo hiyo ya kumchokoza nikamwuliza "naona leo lunch ilikuwa bab kubwa?" akauliza huku akijizuia kucheka "kwanini?" nikamjibu huku nikimtizama usoni kiuchokozi "naona unatoa tu gesi mdada wa watu, tukifungiwa humu dk 10 mi naweza kufa au kuzimia...." aliangua kicheko na kusema "heeeeehhh ..... we kaka wewe.......yatakushinda...umeajuaje kama ni mimi" yule dada alicheka mpaka machozi yakawa yanamtoka. tumefika chini dada bado anacheka nami nikasema kimoyo moyo simwachii huyu kimwana.
basi nikawa naongozana naye analekea alipo park gari nikasimama naye kumsemesha. alikuwa ananitizama anacheka anafuta machozi sasa alikuwa anacheka kwa uhuru si kwa pozi zile za kisister du. nikaendelea kumsemesha "hicho chakula walichokulisha leo.. kimesababisha utoe gesi ambayo haiendani hata na hadhi na sura yako" akanitizama na kujibu "nyooooo..... kwenye kupuu kuna hadhi.... hebu niache mie niende zangu"
nlicheka kidogo na kumwambia "naitwa H........" huku nikimpa mkono. kiukweli nlimshtukiza so hakupata hata muda wa kudanganya jina kama ni mwenye tabia hizo. akanijibu naye " i am......" basi nikamwambia kesho lunch ipo juu yangu "sitaki tena wakalichafue tumbo lako here is my biz card" akachukua akaweka kwenye pochi yake na kwa uungwana pia akatoa yake akanipa. basi nikamfungulia mlango wa gari lake maana alikuwa amesha unlock... akaingia nikafunga nikaondoka bila hata kugeuka nyuma.
leo hii nimeenda kupata naye mtoto mzuri wa huku posta lunch.alivyo mstaarabu pamoja na mimi kumtoa lunch aligoma nisilipie vinywaji.she paid for drinks. tumepiga stories sana ya jana anasema kila akikumbuka anataka kufa kwa kicheko.binafsi si mtu ninayejua sana kucheka ila hupenda kuona mtu akicheka.so nikajikuta namtizama tu natikisa kichwa. nimepata rafiki katika mazingira ya kijinga sana.
nlikumbuka nami kuna kosa kama hil niliwahi fanya ofisini. nlijisahau nikaona nitoe gesi... hazikupita sekunde dada mmoja mrembo alikuwa amesimama mlangoni ana knock anataka kuingia. nlimwahi haraka sana pale mlangoni nikamwambia anisubiri kidogo kuna kitu nafuata nje then ntamruhusu aingie.nikaenda sehemu kwnza kutulia...then nikarudi ofisini kucheck hali ya hewa ikoje.nikapulizia na air freshener then nikamkaribisha.
usiombe uwe umetoka tu kutoa gesi kwenye lift halafu kuna watu wanaingia wanakukuta wewe...utatamani ushuke haraka sana.... maana kila mtu atajua tu ni wewe umechafua hali ya hewa kwenye lift.