Haya mambo yasikie kwa wengine.Huyu dada alitamani ardhi ifunguke Immeze. Leo hii ana Ushuhuda mwingine

Haya mambo yasikie kwa wengine.Huyu dada alitamani ardhi ifunguke Immeze. Leo hii ana Ushuhuda mwingine

ni kweli Curious gal no body can change me... na maisha ni kupanga, na kupanga ni kuchagua.. unachagua kuwa unachopenda then una enjoy maisha. mimi kutokana na aina yangu ya maisha najikuta nakutana na mambo mengi sana yakiwemo majanga na mabalaa yalozagaa kila kona ya dunia hii.
Sema unayokutana nayo wengine kwetu inatupa raha pengine hii inatokana na uwasilishwaji wako hapa jf tunajikuta tunacheka kumbe mwenzetu ulipatwa na majanga......all in all maisha ni kuchagua unaweza ukaamua kutojipa furaha au ujipe raha!! Na wewe umeamua kujipa furaha na kutupa raha wengine tuendelee kucheka
 
Hadithi za GuDume zinaendelea.....halafu siku zote mademu wake wanamiliki MAGARI. Hakuna siku mkuu GuDume alitoa HADITHI za mademu akaacha kutaja gari. JF raha sana aisee!
 
sasa ungekuwa wewe dada yangu emmyta ungefanyaje? ungekausha? wakati inaonekana kabisa hali ya hewa imechafuka mle ndani na upo wewe tu... naye aliamua kujitoa ufaham kupunguza noma..baadaye tukawa marafiki tunacheka na kutaniana.
Mkuu GuDume itapendeza ukijiunga na kikosi cha global publishers cha Erick Shigongo. Huitendei haki talanta yako. Hata kama unapiga mzigo wa profesheni nyingine, omba part time kwa Shigongo mkuu.
 
ha ha ha... wapo ukiangalia stories zangu nyuma utakutana nao. lakini pia ndege wa rangi moja huruka pamoja. nliachana na hawa wasiomiliki magari baada ya mtoto mmoja mzuri wa kiswahili siku zooote namwona anapanda daladala siku nimemwambia aje nimgegede akataka eti nimchukulie taxi... alinibore sana. nikaona kumbe nitafute tu wenye usafiri wao.. mtu anakuja nimpe raha na anataka nimlipie badala ya yeye kuja kunilipa.

Hadithi za GuDume zinaendelea.....halafu siku zote mademu wake wanamiliki MAGARI. Hakuna siku mkuu GuDume alitoa HADITHI za mademu akaacha kutaja gari. JF raha sana aisee!
 
Hahaha! Pamoja sana mkuu. Mm mademu wa badoo ndio wananiachaga hoi....nimeishatomba wengi sana lakini baadhi yao ni matapeli. Usipokuwa makini wanaweza wakakuingiza mjini.
 
Back
Top Bottom