Haya maneno ya Rais Mstaafu Kikwete yataishi milele

Haya maneno ya Rais Mstaafu Kikwete yataishi milele

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Screenshot_20240818-194803_X.jpg
 
Kwanini hakushughulikia mchakato mzima kwenye awamu yake?

Huyu kwenye somo la kujua kula na kipofu ana A
Tatizo katiba mpya haiwezi kuletwa na Rais aliyeko madarakani peke yake. Jua yeye Rais anakuwa ameshakula vya kutosha na kushiba lakini wapambe waliyoko nyum yake wanakuwa bado hawajashiba hivyo hawawezi kumpa support kwenye hilo la kutaka kupoteza ulaji. Katiba mpya itagusa maslaji ya watu wengi wanaonufaika ma ubovu wa katiba hii so siyo jambo rahisi hivyo kuibadilisha.
 
Back
Top Bottom