Haya maneno ya Rais Mstaafu Kikwete yataishi milele

Haya maneno ya Rais Mstaafu Kikwete yataishi milele

Bado wanasubiriwa ambao majina yao yataandikwa kwa wino wa dhahabu.
Ilipaswa awe yeye sema tu viongozi wetu hawana maono. JK alikuwa na nafasi ya pekee kabisa ya kuacha legacy ya kipekee sana kwa kutupatia katika mpya (kijitabu) ambayo ingeweka mwelekeo mpya wa nchi yetu. Mchakato akauanzisha. Tume ya Warioba. Wananchi wakatoa maoni yao. Bunge la katiba likakaa sijui miezi mingapi. Mabilioni yakatumika. Samia akang'ara. Rasimu nzuri ikapatikana. Kikwete huyu huyu akaenda bungeni na kuikana katika ile ya Warioba. Na mambo yakaishia pale.

Alijua kuwa kama angeipitisha katiba ile na upepo ule hasimu wa kisiasa wa wakati ule, inawezekana CCM isingechomoka mwaka 2015. Leo hii naye eti anabwabwaja. Alipoteza nafasi nzuri Sana iliyotukuka; na sasa, mbali na mambo mengine machache mazuri, atakumbukwa pia kwa ufisadi uliopitiliza na........

Hata kwenye demokrasia ambako aling'ara sana, bado tu akatia sahihi ile sheria kandamizi ya makosa ya mtandao mbali na sheria hiyo kupingwa karibu na kila mtu.

Legacy hasi...🪣🚮🚮🚮
 
Maswala ya tume cjui kukusanya maoni ya wananchi ni upumbavu mtupu na kupoteza bure pesa za walipa kodi. Kuna maelfu ya wasomi nchi hii ata rangi ya katiba yetu hawaijui. Kusanya wabobevu wa sheria na wanazuoni kutoka sekta tofauti wapendekeze maoni na wapate rasimu ya katiba mpya .
 
Katiba mpya iligubikwa na chuki kwa Uislam, na kwanini kila jema alifanye Muislam nchi hii.
Na bado nendeni mkapewe hio katiba huko uarabuni.......jema sembe au???maana wakiingiaga hao ndo wauza sembe wanatawala, ila safari hii mmepigwa kitu kizito
 
Kikwete mnafiki tu.Aliunda kamati ya katiba lakini mapendekezo ya katiba akayakataa Hadi kasababisha kushindwa kuwa na katiba mpya.
 
Back
Top Bottom