mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, we are tanzanian, not tanganyikanWho cares?
Kama halipo lajaDuh aiseee lisemwalo lipo
Umeme ukikatika tu vinachacha
Bado haijathibitika lakini,nimeshawahi kusema hapa.matren ya umeme haya .umeme tunao??
ndio hivi sasa
Tanesco hawaruhusiwi kutujibu baada ya matarajio ya bwawa la mabwawa kugota.Kutokana na mgao au ukosefu wa umeme mara kwa mara Kariakoo katika hizi siku za karibuni, kuna minon'gono inaendelea, je ni kweli? Au ni uzushi.
Wanasema eti umeme wote unapelekwa kwenye SGR, Na ndio maana si ajabu kwa kariakoo siku hizi kukaa mpaka masaa 18 bila umeme.
TANESCO
Hata hiyo SGR yenyewe inakosa umeme muda mwingineKutokana na mgao au ukosefu wa umeme mara kwa mara Kariakoo katika hizi siku za karibuni, kuna minon'gono inaendelea, je ni kweli? Au ni uzushi.
Wanasema eti umeme wote unapelekwa kwenye SGR, Na ndio maana si ajabu kwa kariakoo siku hizi kukaa mpaka masaa 18 bila umeme.
TANESCO
Ngoja tuoneMuda utaongeaa ,na vile wanajua kukanushaa c muda tu utaona wamekanusha usemacho😂😂😂
Ni huzunii.
Hapana, tunahitaji majibuTanesco hawaruhusiwi kutujibu baada ya matarajio ya bwawa la mabwawa kugota.
Labda na wao wanapata mgaoHata hiyo SGR yenyewe inakosa umeme muda mwingine
Ni uzembe tu wa TANESCO umeme upo wa kutosha.Kutokana na mgao au ukosefu wa umeme mara kwa mara Kariakoo katika hizi siku za karibuni, kuna minon'gono inaendelea, je ni kweli? Au ni uzushi.
Wanasema eti umeme wote unapelekwa kwenye SGR, Na ndio maana si ajabu kwa kariakoo siku hizi kukaa mpaka masaa 18 bila umeme.
TANESCO
Utasubiri sana.Hapana, tunahitaji majibu