Haya maneno yanayosambaa kuhusu SGR ni kweli au ni uzushi?

Haya maneno yanayosambaa kuhusu SGR ni kweli au ni uzushi?

Kutokana na mgao au ukosefu wa umeme mara kwa mara Kariakoo katika hizi siku za karibuni, kuna minon'gono inaendelea, je ni kweli? Au ni uzushi.

Wanasema eti umeme wote unapelekwa kwenye SGR, Na ndio maana si ajabu kwa kariakoo siku hizi kukaa mpaka masaa 18 bila umeme.

TANESCO
Lisemwalo lipo
 
Kutokana na mgao au ukosefu wa umeme mara kwa mara Kariakoo katika hizi siku za karibuni, kuna minon'gono inaendelea, je ni kweli? Au ni uzushi.

Wanasema eti umeme wote unapelekwa kwenye SGR, Na ndio maana si ajabu kwa kariakoo siku hizi kukaa mpaka masaa 18 bila umeme.

TANESCO
mmh umeme huu huu unaopeleka watu Dodoma kwenye kikqo
 
Chama dola kimenunua maZutong, kumaanisha hawana imani na SGR...

Border to border ndo usafiri wetu Tanganyika, tupoteze muda na maisha njiani.

Umeme, ni sehemu ya maendeleo ya kweli, kwa hii awamu, HAKUNA MAENDELEO ila MAENDELEZO YA AWAMU YA 4.
 
Hii hali ya umeme kukatika imekuwepo miongo na miongo kabla hata ya SGR.

SGR naye ni muhanga kama sisi tu.
 
Jaman tulieni tuna jambo Dodoma !!!
Kutokana na mgao au ukosefu wa umeme mara kwa mara Kariakoo katika hizi siku za karibuni, kuna minon'gono inaendelea, je ni kweli? Au ni uzushi.

Wanasema eti umeme wote unapelekwa kwenye SGR, Na ndio maana si ajabu kwa kariakoo siku hizi kukaa mpaka masaa 18 bila umeme.

TANESCO
 
Nilishangaa sana kusikia et bwawa jipya ni tiba ya umeme tz, af nyie watu mjue kufikiria kuwa aliebuni hio miradi kama sgr au bwawa la nyerere ndo alikuwa anajua namna ambavyo ingefanya kazi. mfano kuzalisha umeme mkubwa na pia punguzo kubwa la umeme kwa watanzania.. sasa hizi keng€ zilizoachwa mtalia mpaka bhc na hamna chochote coz master mind already gone.
REST IN PEACE MAGUFULI.
 
Nilishangaa sana kusikia et bwawa jipya ni tiba ya umeme tz, af nyie watu mjue kufikiria kuwa aliebuni hio miradi kama sgr au bwawa la nyerere ndo alikuwa anajua namna ambavyo ingefanya kazi. mfano kuzalisha umeme mkubwa na pia punguzo kubwa la umeme kwa watanzania.. sasa hizi keng€ zilizoachwa mtalia mpaka bhc na hamna chochote coz master mind already gone.
REST IN PEACE MAGUFULI.
Atakama alikuwa anajua c alishirikiana na watu ,hao watu hawapo?
 
Nilishangaa sana kusikia et bwawa jipya ni tiba ya umeme tz, af nyie watu mjue kufikiria kuwa aliebuni hio miradi kama sgr au bwawa la nyerere ndo alikuwa anajua namna ambavyo ingefanya kazi. mfano kuzalisha umeme mkubwa na pia punguzo kubwa la umeme kwa watanzania.. sasa hizi keng€ zilizoachwa mtalia mpaka bhc na hamna chochote coz master mind already gone.
REST IN PEACE MAGUFULI.
Ni sawa, ila mifumo haitegemei ntu mmoja tu
 
Back
Top Bottom