Lisemwalo lipoKutokana na mgao au ukosefu wa umeme mara kwa mara Kariakoo katika hizi siku za karibuni, kuna minon'gono inaendelea, je ni kweli? Au ni uzushi.
Wanasema eti umeme wote unapelekwa kwenye SGR, Na ndio maana si ajabu kwa kariakoo siku hizi kukaa mpaka masaa 18 bila umeme.
TANESCO
mmh umeme huu huu unaopeleka watu Dodoma kwenye kikqoKutokana na mgao au ukosefu wa umeme mara kwa mara Kariakoo katika hizi siku za karibuni, kuna minon'gono inaendelea, je ni kweli? Au ni uzushi.
Wanasema eti umeme wote unapelekwa kwenye SGR, Na ndio maana si ajabu kwa kariakoo siku hizi kukaa mpaka masaa 18 bila umeme.
TANESCO
Huo huommh umeme huu huu unaopeleka watu Dodoma kwenye kikqo
Au lajaLisemwalo lipo
Subira ina mwishoUtasubiri sana.
Kutokana na mgao au ukosefu wa umeme mara kwa mara Kariakoo katika hizi siku za karibuni, kuna minon'gono inaendelea, je ni kweli? Au ni uzushi.
Wanasema eti umeme wote unapelekwa kwenye SGR, Na ndio maana si ajabu kwa kariakoo siku hizi kukaa mpaka masaa 18 bila umeme.
TANESCO
Atakama alikuwa anajua c alishirikiana na watu ,hao watu hawapo?Nilishangaa sana kusikia et bwawa jipya ni tiba ya umeme tz, af nyie watu mjue kufikiria kuwa aliebuni hio miradi kama sgr au bwawa la nyerere ndo alikuwa anajua namna ambavyo ingefanya kazi. mfano kuzalisha umeme mkubwa na pia punguzo kubwa la umeme kwa watanzania.. sasa hizi keng€ zilizoachwa mtalia mpaka bhc na hamna chochote coz master mind already gone.
REST IN PEACE MAGUFULI.
Ni sawa, ila mifumo haitegemei ntu mmoja tuNilishangaa sana kusikia et bwawa jipya ni tiba ya umeme tz, af nyie watu mjue kufikiria kuwa aliebuni hio miradi kama sgr au bwawa la nyerere ndo alikuwa anajua namna ambavyo ingefanya kazi. mfano kuzalisha umeme mkubwa na pia punguzo kubwa la umeme kwa watanzania.. sasa hizi keng€ zilizoachwa mtalia mpaka bhc na hamna chochote coz master mind already gone.
REST IN PEACE MAGUFULI.
SahihiAtakama alikuwa anajua c alishirikiana na watu ,hao watu hawapo?