Na ambao ni nobody's je?
Hawa watoto wa kike wanafikiriaga mbele kweli?
Siku watakayoitwa Mama?
Bata kwanza fainali uzeeni
Mimi ningepata nafasi ya kuwashauri........ningewaambia wawe wanajifunza kunyamaza........wanaongea sana........
lakini huyu si ni 'great thinker' ...au kwenye mahusiano hilo halipo?!!Kila akiwa na mpenzii my love 'my king 'my sweet hata kwa Prezo ilikua hivhiviii kwa zito kabwe alipambwa kwelii anafaa kua raisiii leo yako wapiiii hahhha hajatulia halaf wote anawapata kwenye hizo interview akitoka Gk atakuja msanii mwingine akienda tu kuhojiwaa nae atapitaa na atabaki kusema love at first sight
Haya, huu ndio u celebrity wa Bongo.
Kids? SMDH!
Kila akiwa na mpenzii my love 'my king 'my sweet hata kwa Prezo ilikua hivhiviii kwa zito kabwe alipambwa kwelii anafaa kua raisiii leo yako wapiiii hahhha hajatulia halaf wote anawapata kwenyeer hizo intview akitoka Gk atakuja msanii mwingine akienda tu kuhojiwaa nae atapitaa na atabaki kusema love at first sight
Sorry. Its SMDH-Shaking My Damn Head.Mie naomba unisaidie kwenye hiyo SDMH ndo nini? umeniacha kwenye mataa!
Hivi ukiambiwa uchague ice cream vanila na Sony Z 2 unachagua nini.
Nimeona watano.......sasa sijajua mpaka sasa nini kinaendelea.....
am next...nina interview nae mwezi..stay tuned