Haya mapenzi bwana acha nicheke tu!

Wewe ulikuwa unataka mbunye hukuwa na malengo naye yoyote!!!
Bora bidada alivyokushtukia kakunyima
Unaweza kuwa na mipango ya kumuoa mwanamke 100℅ ila kutokana na mambo yake hayaeleweki ukaishia kutaka mbunye tu.
Shida ya mwanamke huwa hajui achague kipi na aache kipi.
Anaweza kuwapanga hadi 6 lkn wote wakaishia kumchezea iko hivi. Mwanamke hawezi kuwapanga wanaume zaidi ya mmoja na wote wasingudue ila mwanaume anaweza kuwa na wanawake hata 6 na wote wasingudue.
Mwanamke ameumbwa kumpenda mwanaume mmoja kwahiyo kwenye 6 anampenda mmoja na 5 anapunguza upendo na kuweka sababu nyingi ila wote 6 anajua mmoja kati yao atamuoa.
Kweli kuna mmoja atakuwa na mipango ya kumuoa ila kutokana na mwanamke kumuamini sana mtu mmoja kati yao, anajikuta anamuamini na kumpenda tapeli na mwenye nia anamuacha matokeo yake, idadi inapungua na haoni tena matumaini na hapo anaanza kujaribu baada ya kuona mipango imefeli.
Ndiyo maana mwamba anampotezea halafu demu anarudi mwenyewe.
 
Kama ana sifa zote sisi watu wa Mbozi huwa tunabeba kabisa alafu akifika kwako unasema naenda kesho kwa wazazi wako na unaweka na Pete ya uchumba juu ya kidole na shopping flani hivi ya kukata na shoka kwenda kwa wazazi
Noma sana eeeh
 
Upo sahihi mkuu. Nampotezea ila anajirudi mara kwa mara japo ni mzuri kiasi chake. But this time NO
 
Mambo yake yepi,sema hauko tayari,hao watu wako makini when it comes to lies and truth,if you are serious go next level.She don't want be played
 
Hakupendi....haya soma kwa sauti bila kulia[emoji28]

Huyo alikuwa anataka mbunye ya bure bila ndoa, eti kasafiri mpk mkoa aliokuwepo bi dada akale mbunye kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Huyo mwamba unayemtetea hana lolote alipenda mbunye ya bure tu! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huko juu umeanza vizuri umekuja kuzingua hapo unaomba ushauri, ushauri wa nini sasa? umeshaamua kuendelea na harakati zako ki solo ushauri wa nini
 
Ki uhalisia kabisa huu uzi ulitakiwa uwe kule kwenye story za kulana kimasihara
 
Huko juu umeanza vizuri umekuja kuzingua hapo unaomba ushauri, ushauri wa nini sasa? umeshaamua kuendelea na harakati zako ki solo ushauri wa nini
Hicho kidokezo tu mkuu. Hakuna cha ushauri si unajua jf wanapenda hivyo
 
Huyo alikuwa anataka mbunye ya bure bila ndoa, eti kasafiri mpk mkoa aliokuwepo bi dada akale mbunye kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nilishaila kwann ninyimwe tena..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…