Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Khaaa jamani mie tena??? Hebu angalia vizuri utakuwa umekosea tagKama ambavyo unanifanyia, hii story na yetu hazina tofauti🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa jamani mie tena??? Hebu angalia vizuri utakuwa umekosea tagKama ambavyo unanifanyia, hii story na yetu hazina tofauti🤣
Silewi mataptap ujuwe, niko timamu kabisa.Khaaa jamani mie tena??? Hebu angalia vizuri utakuwa umekosea tag
Kwani leo umekunywa nn tena mbona mapema sanaSilewi mataptap ujuwe, niko timamu kabisa.
Usiache mkuu now wameshafika wanawake 9 kwa mwanaume mmojaNImeacha kdgo
Nimekunywa juice ya miwa, unaipenda? Njoo nikuambie kitu.🤣Kwani leo umekunywa nn tena mbona mapema sana
Nmefika niambie mzee baba...halafu juice ya muwa ikolee tangawizi na limao weee tamu sanaNimekunywa juice ya miwa, unaipenda? Njoo nikuambie kitu.🤣
Kwani ni hapa bwana...we njoo🤣Nmefika niambie mzee baba...halafu juice ya muwa ikolee tangawizi na limao weee tamu sana
Nmefika boss wangu nipangeKwani ni hapa bwana...we njoo🤣