Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sijaelezea vzr be4 homa alinichomoa kiaina nikaona kama nipo sub na home imekuja kwa mazingira siyaelewi yaani kina kitu nime hide ndio maana nimeandika mshazari usioenda direct. Tungo ulinayoenda na kurudi kuna mambo kimekwepa kuyaelezea. Ukute yupo jf akajiona kuwa kaandikwaKama alisaidia hamu yako sasa kwnini usimsaidie kwenye homa yako, mbona unatuangusha aise
🤣Wewe ulikuwa unataka mbunye hukuwa na malengo naye yoyote!!!
Bora bidada alivyokushtukia kakunyima
Achana naeUnishauri lolote.
AmenSawa sawa na ubarikiwe😆😆😆
Hahah sawa sawa mkuu to yeye kasema.. 😁😁😁 uandishi ni katika namna ya kuficha mambo flan kdgo ndio maana umekaa haueleweki. Ningenyoosha ingekua direct saana hata kama yupo hapa angeona. Kuna maelezo hapo sio yenyewe nimechomeka chomekaDaah,naamini yeye mwenyewe kakuvumilia sana....huo uandishi umekuandika kama ulivyo mkuu