Haya mapenzi bwana acha nicheke tu!

Haya mapenzi bwana acha nicheke tu!

Kama alisaidia hamu yako sasa kwnini usimsaidie kwenye homa yako, mbona unatuangusha aise
Hapo sijaelezea vzr be4 homa alinichomoa kiaina nikaona kama nipo sub na home imekuja kwa mazingira siyaelewi yaani kina kitu nime hide ndio maana nimeandika mshazari usioenda direct. Tungo ulinayoenda na kurudi kuna mambo kimekwepa kuyaelezea. Ukute yupo jf akajiona kuwa kaandikwa
 
Daah,naamini yeye mwenyewe kakuvumilia sana....huo uandishi umekuandika kama ulivyo mkuu
 
1697795068993.png

Kwamba?!!!
 
Daah,naamini yeye mwenyewe kakuvumilia sana....huo uandishi umekuandika kama ulivyo mkuu
Hahah sawa sawa mkuu to yeye kasema.. 😁😁😁 uandishi ni katika namna ya kuficha mambo flan kdgo ndio maana umekaa haueleweki. Ningenyoosha ingekua direct saana hata kama yupo hapa angeona. Kuna maelezo hapo sio yenyewe nimechomeka chomeka
 
Back
Top Bottom