george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,302
- 2,023
- Thread starter
-
- #121
Bwege mtozeni huyuHyo ni buzi tena mme bwege. Ananunua matatizo. Ila watu kama hawa usishangae pale wanapozinduka wakaua wale wanaodhani wao ni mabuzi na mafala kama huyu
Tatizo la jf Kila milionea Tena wa dollar4m nayo hela ya mtaji?
Maskini..poleKama hujawahi kulogwa na mwanamke unaeishi nae endelea kusali sana na kumshukuru pia aepushe isitokee.
Yaani unakuwa huelewii elewii aisee sitokaa nisahau yule mnyaturu dah hii kabila hii
Sante sanaMaskini..pole
Kwa hiyo umekuwa Mshikisha Adabu Wagoni Wa Rafiki zako??Sasa hiyo mnayofanya haiwakuzii uchumi wenu binafsi na haiwakuzi kifikra,,kimaono na kimitazamo katika maisha haya ya kawaida tuu inakuwa mnajipotezea mda,,"nawauzia wazo"Sajili tu kampuni yenu ya vijana kadhaa mjulukane kihalali,,muwe manatoza watu kiasi kadhaa kwa ajili ya Kazi yenu ya ""Ushikishaji Adabu Wagoni""mkawa mnakodishwa au unaonaje wewe mvulana??Acha ufalahh dogoo kwa shughuli za kipuuzi tafuta kazi za msingi ufanye utakuja pigwa chumaa uache kilio kwa familia kwa kifo cha aibu na cha kipuuzi,,,unapenda vihela vya kushikishana ugoni vitakutokea puani!!###KazaaAchaKulegea###Ye ndio alituomba msaada wa kwenda msaidia ,kumshikisha adabu mgoni wake
Sometime tumia akili aisee kwa mfano rafiki yko hawezi kukupa msaada wowoteKwa hiyo umekuwa Mshikisha Adabu Wagoni Wa Rafiki zako??Sasa hiyo mnayofanya haiwakuzii uchumi wenu binafsi na haiwakuzi kifikra,,kimaono na kimitazamo katika maisha haya ya kawaida tuu inakuwa mnajipotezea mda,,"nawauzia wazo"Sajili tu kampuni yenu ya vijana kadhaa mjulukane kihalali,,muwe manatoza watu kiasi kadhaa kwa ajili ya Kazi yenu ya ""Ushikishaji Adabu Wagoni""mkawa mnakodishwa au unaonaje wewe mvulana??Acha ufalahh dogoo kwa shughuli za kipuuzi tafuta kazi za msingi ufanye utakuja pigwa chumaa uache kilio kwa familia kwa kifo cha aibu na cha kipuuzi,,,unapenda vihela vya kushikishana ugoni vitakutokea puani!!###KazaaAchaKulegea###
Pole sanaSante sana
Pia Kila mtu kasoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo la jf Kila milionea Tena wa dollar
Tumekusoma mkuuFor wanaume [emoji2][emoji4][emoji2][emoji4] wenzangu tujifunze kujipa outing hata wenyewe.......
vaa vizuri pendeza alaf kale jasho lako (Bata) kidogo sio unafanya kazi ngumu unapata pesa zote unapeleka kuhonga MWANAMKE......
Wengine hawavai kabisa pesa zote Kwa wanawake na Malaya......
Hapa nazungumza na wanaume wabangaizaji wahangaikaji ambao hatuna sekta maalum.....[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Urafiki hadi wa kuingiliana kwenye mahusiano,,kuchunguzana kwenye mahusiano,,na kushirishikana kushikana ugoni huo ni urafiki mavii!!!Sometime tumia akili aisee kwa mfano rafiki yko hawezi kukupa msaada wowote
Mngemlapua na jamaa yenu na.mgoni na.mkewe mabanzi yakutosha plus mabapa ya mapanga 😡😡😡😶🤬🤬🤬Kuna jamaa yg mmoja yeye anampenda sana mke wake ,kiukweli upendo ule sijawai kukuona
Cha kwanza jamaa hana kazi maalumu Kila dili ngumu ye anapiga tu , ila anahakikisha mkewe anapata mahitaji yote muhimu
Jamaa humnunulia mkewe nguo za thamani na kumpa vitu vyote vizuri
, Cha ajabu mkewe ni kicheche sana
Tukio la ajabu Kuna siku mke aliondoka ghafla pasipo mume kujua , Sasa tulimtafuta sanaaa hakupatikana baada ya wiki tukapata taalifa Yuko salasala benako Kuna mchizi anabiga mbupu kafungia ndani
Akatuchukua ili tumpe kampani ya kwenda kufanya Fuji ili kumuonesha mshikaji ubabe , kama vipi timsaule Kila kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee tukatoka na hasira tukiwa na silaha mbalimbali za jadi huku njiani tukijiapiza haiwezekani fala mmoja kuja kuchukua mke wa swahiba wetu na kwenda kumfungia ndani
Ebwanaaa kufika eneo la tukio ohoooo
Ile tunataka kulianzisha , huyu jamaa wetu mwenye mke akapoa tunaona mtu anapiga magoti huku anaelekea alipokaa mke wake Tena huku anaomba msamaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee tulipata hasira sana Tena jamaa alitefedhehesha mno , ye ndio kwanza anatuambua jamani acheni fujo ngoja niongee na mke wg , mke akawa anagoma kuondoka , ikabidi amwambie mgoni wake bana niachie mke wg siku zote umekaa nae hujatosheka tu
Jamaa akamjibu ongea na mkeo mi kosa lg lipi , kuongea na mkewe mke akamwambia niachie nauli ya boda nakuja kesho
Swahiba wetu akachomoa 10000 akamuachia tukaondoka , kesho yke asubui mke akaja wakaendelea na maisha
Mimi binafsi nasema ,unaweza jua umeona na kusikia vitu vingi , kumbe ni mengi hatujayajua Duniani tuvijuavyo ni theruthi tu
Hiyo huwaga siamini kama ni sababu.Mwanaume ukiwa dhaifu kitandani inatokea ivo maana hauwezi kumridhisha mkeo kwaiyo jamaa anaogopa Siri zitamwagwa hadharani
Tena international school na chuo kamalizua HarvardPia Kila mtu kasoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni masikutiko Kwa kweliAcha tu kaka Kuna masela wanakera!
Kuna jamaang moja tulitoka kitaa kimoja huko Geneva ya Africa katika pita pita za kusaka shillingi Mungu akamulikia tochi michongo yake ikatiki.
Akapata demu wa kitanga demu ni mkali kinoma akampa demu mtaji wa biashara 4M+
Demu alikula hela yote akaolewa na mtu mwngn
Kuna jamaa mkewe kamchana live baada ya kumfuma anaongea na mwanaume mwengine , akamwambia tatizo we kibamia [emoji1787][emoji1787][emoji1787] anamwambia mumeweHiyo huwaga siamini kama ni sababu.
Mwanaume akiwa dhaifu kwa bed huwa hawatumii hiyo mbinu ya unyonge, unyonge ni hulka ya mtu na ubwege wake.
Kuna wanawake kama 3 waliokua na midume dhoof ilhali walikua wanashuhudia vitimbi vya waume zao.
Jamaa mbinu zao ni kumtia stress na unyonge mwanamke, yaani mwanamke ajione ni bahati kua na jamaa, akiachwa hataolewa tena ko avumilie tu.
Wengi hupenda kuvimba balaa, wewe ushawahi kuona mwanaume anajisema hadharani kua ni dhaifu.
Hapo kijiweni kila mtu anajifu yeye ni hodari lakini miongini mwenu nyie wana 7 labda 2 tu ndo wako njema.
Kabisa aiseeMngemlapua na jamaa yenu na.mgoni na.mkewe mabanzi yakutosha plus mabapa ya mapanga [emoji35][emoji35][emoji35][emoji55][emoji2959][emoji2959][emoji2959]
Ametushilikisha kua muelewa , pia kutokana na tukio lile tulimuona jamaa fala sana , na sie tukaanza kumgongeaUrafiki hadi wa kuingiliana kwenye mahusiano,,kuchunguzana kwenye mahusiano,,na kushirishikana kushikana ugoni huo ni urafiki mavii!!!