Haya mapenzi sio ya kawaida jamani

Kama hujawahi kulogwa na mwanamke unaeishi nae endelea kusali sana na kumshukuru pia aepushe isitokee.
Yaani unakuwa huelewii elewii aisee sitokaa nisahau yule mnyaturu dah hii kabila hii
 
Ye ndio alituomba msaada wa kwenda msaidia ,kumshikisha adabu mgoni wake
Kwa hiyo umekuwa Mshikisha Adabu Wagoni Wa Rafiki zako??Sasa hiyo mnayofanya haiwakuzii uchumi wenu binafsi na haiwakuzi kifikra,,kimaono na kimitazamo katika maisha haya ya kawaida tuu inakuwa mnajipotezea mda,,"nawauzia wazo"Sajili tu kampuni yenu ya vijana kadhaa mjulukane kihalali,,muwe manatoza watu kiasi kadhaa kwa ajili ya Kazi yenu ya ""Ushikishaji Adabu Wagoni""mkawa mnakodishwa au unaonaje wewe mvulana??Acha ufalahh dogoo kwa shughuli za kipuuzi tafuta kazi za msingi ufanye utakuja pigwa chumaa uache kilio kwa familia kwa kifo cha aibu na cha kipuuzi,,,unapenda vihela vya kushikishana ugoni vitakutokea puani!!###KazaaAchaKulegea###
 
Sometime tumia akili aisee kwa mfano rafiki yko hawezi kukupa msaada wowote
 
Tumekusoma mkuu
 
Sometime tumia akili aisee kwa mfano rafiki yko hawezi kukupa msaada wowote
Urafiki hadi wa kuingiliana kwenye mahusiano,,kuchunguzana kwenye mahusiano,,na kushirishikana kushikana ugoni huo ni urafiki mavii!!!
 
Mngemlapua na jamaa yenu na.mgoni na.mkewe mabanzi yakutosha plus mabapa ya mapanga 😡😡😡😶🤬🤬🤬
 
Mwanaume ukiwa dhaifu kitandani inatokea ivo maana hauwezi kumridhisha mkeo kwaiyo jamaa anaogopa Siri zitamwagwa hadharani
Hiyo huwaga siamini kama ni sababu.
Mwanaume akiwa dhaifu kwa bed huwa hawatumii hiyo mbinu ya unyonge, unyonge ni hulka ya mtu na ubwege wake.

Kuna wanawake kama 3 waliokua na midume dhoof ilhali walikua wanashuhudia vitimbi vya waume zao.

Jamaa mbinu zao ni kumtia stress na unyonge mwanamke, yaani mwanamke ajione ni bahati kua na jamaa, akiachwa hataolewa tena ko avumilie tu.

Wengi hupenda kuvimba balaa, wewe ushawahi kuona mwanaume anajisema hadharani kua ni dhaifu.

Hapo kijiweni kila mtu anajifu yeye ni hodari lakini miongini mwenu nyie wana 7 labda 2 tu ndo wako njema.
 
Ni masikutiko Kwa kweli
 
Kuna jamaa mkewe kamchana live baada ya kumfuma anaongea na mwanaume mwengine , akamwambia tatizo we kibamia [emoji1787][emoji1787][emoji1787] anamwambia mumewe
 
Urafiki hadi wa kuingiliana kwenye mahusiano,,kuchunguzana kwenye mahusiano,,na kushirishikana kushikana ugoni huo ni urafiki mavii!!!
Ametushilikisha kua muelewa , pia kutokana na tukio lile tulimuona jamaa fala sana , na sie tukaanza kumgongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…