Pretty-baby
Member
- Jan 25, 2012
- 56
- 7
hi to all, ninampenzi wangu tuliachana tukarudiana lakini tangu tumerudiana mpaka leo hajawai kunitamkia nakupenda,nimekumic na maneno mengine mengi kama alivyonitamkia zamani,ila ninacho jiuliza kuna mapenzi hapo? au ? ushauri wa kimtazamo tafathali.:juggle: