Wiki ya kwanza tu baada ya kurejea Ikulu, Rais wa Marekani Donald Trump aliharakisha usafirishaji wa shehena ya mabomu 1,800 aina ya MK-84, kila moja likiwa na uzito wa tani moja, mabomu hayo yamewasili rasmi Israel siku ya Jumamosi, tarehe 15 Februari 2025 kwenye bandari ya Israel.
Uamuzi huu unaleta mabadiliko makubwa katika mkondo wa diplomasia ya Marekani kuelekea Israel, hasa baada ya mtangulizi wake, Joseph Biden, kuzuia usafirishaji wa silaha hizo.
Wakati wa utawala wa Biden uhusiano kati ya Marekani na Israel ulikuwa umedorora, kulikuwepo uvujishaji wa taarifa nyeti kuhusu mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran, Biden alikataa kumpokea Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu alipowasili Marekani na hata hakuhudhuria hotuba yake katika Bunge la Wawakilishi, ingawa idadi kubwa ya wabunge walihudhuria.
Mabomu ya MK-84 yanajulikana kwa uwezo wake mkubwa wa uharibifu, yanaweza kupenya hadi inchi 15 za chuma au futi 11 za saruji, na kusababisha mashimo yenye kipenyo cha takriban futi 50 na kina cha futi 36 baada ya kulipuka. Usafirishaji huu unasisitiza uhusiano wa kijeshi ulio imara kati ya Marekani na Israeli na unafanyika katikati ya usitishaji mapigano.
Hakuna myahudi mzungu. Hata hao kina Netanyahu ni wazungu waliotokea Poland, Uturuki, Greece na Ulaya mashariki ambao wamepelekwa hapo mashariki ya kati kwa ajili ya mpango maalumu wa kimasilahi ya wazungu, haswa Marekani na Uingereza.
Wananunua hawapelekewi bure. Huo mzigo walilipia ila Biden akauzuia baada ya Operesheni ya ya Rafah.
Hata Trump alivyouliza kama ataruhusu hayo mabomu yaende Israel alisema ndiyo kwa sababu wamelipia
Leo mchana netanyahu kaongea na waandishi wa habari kuwaambia baada ya vita ya Gaza hakutakuwa na mamlaka ya Palestine wala hamas ambao watatawala tena Gaza... tukumbuke hizi silaha zote zinazotumwa Israel ni Kwaajili ya Iran Tu
Kabla ujio wa allah kilikua na miungu wengine pia waliojaribu kufuta Israel wakashindwa, akina Baal n.k.
Mungu Jehovah ndiye muweza yote na anawalinda.
Hata baada ya Allah wenu, Kuna mwingine atajitokeza na atashindwa.
Leo mchana netanyahu kaongea na waandishi wa habari kuwaambia baada ya vita ya Gaza hakutakuwa na mamlaka ya Palestine wala hamas ambao watatawala tena Gaza... tukumbuke hizi silaha zote zinazotumwa Israel ni Kwaajili ya Iran Tu
Mshaambiwa kwasasa aiyogopwi ISRAEL wala MAREKANI sasa watu wataogopa boom pc 1800 Mk-84
watupie IRAN au YEMEN waone kama Watu awana VITU vimewekwa ndimu kuliko vyao!!!!!
wanachoogopa kuivamia IRAN nn!!!! Mbona kule wanacheza na Russia kidalipo kidalipo kalale nacho!!!
Sasa kwann awataki kucheza na iran!!!! wkt hezbollah ni IRANI YEMEN ni IRAN HAMAS ni IRAN sasa kwann Awaendi IRAN kukata UMEME unapotokea!!!!!
IRAN ILE PROMIS NO3 ilikuwa ikisubili huo mzigo ngoja muone utakavyo Butuliwa yakiwa kwenye hifadhi zake!!!! Iran anajua kucheza na WAZUNGU ndio mana Wanamuogopa!!!!
Huu mwaka 2025 utakuwa Umechangamka sana japo unaanza talatibu sie yetu macho!!!
Hakuna myahudi mzungu. Hata hao kina Netanyahu ni wazungu waliotokea Poland, Uturuki, Greece na Ulaya mashariki ambao wamepelekwa hapo mashariki ya kati kwa ajili ya mpango maalumu wa kimasilahi ya wazungu, haswa Marekani na Uingereza.wa
Hakuna myahudi mzungu. Hata hao kina Netanyahu ni wazungu waliotokea Poland, Uturuki, Greece na Ulaya mashariki ambao wamepelekwa hapo mashariki ya kati kwa ajili ya mpango maalumu wa kimasilahi ya wazungu, haswa Marekani na Uingereza.
Wiki ya kwanza tu baada ya kurejea Ikulu, Rais wa Marekani Donald Trump aliharakisha usafirishaji wa shehena ya mabomu 1,800 aina ya MK-84, kila moja likiwa na uzito wa tani moja, mabomu hayo yamewasili rasmi Israel siku ya Jumamosi, tarehe 15 Februari 2025 kwenye bandari ya Israel.
Uamuzi huu unaleta mabadiliko makubwa katika mkondo wa diplomasia ya Marekani kuelekea Israel, hasa baada ya mtangulizi wake, Joseph Biden, kuzuia usafirishaji wa silaha hizo.
Wakati wa utawala wa Biden uhusiano kati ya Marekani na Israel ulikuwa umedorora, kulikuwepo uvujishaji wa taarifa nyeti kuhusu mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran, Biden alikataa kumpokea Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu alipowasili Marekani na hata hakuhudhuria hotuba yake katika Bunge la Wawakilishi, ingawa idadi kubwa ya wabunge walihudhuria.
Mabomu ya MK-84 yanajulikana kwa uwezo wake mkubwa wa uharibifu, yanaweza kupenya hadi inchi 15 za chuma au futi 11 za saruji, na kusababisha mashimo yenye kipenyo cha takriban futi 50 na kina cha futi 36 baada ya kulipuka. Usafirishaji huu unasisitiza uhusiano wa kijeshi ulio imara kati ya Marekani na Israeli na unafanyika katikati ya usitishaji mapigano.
Kabla ujio wa allah kilikua na miungu wengine pia waliojaribu kufuta Israel wakashindwa, akina Baal n.k.
Mungu Jehovah ndiye muweza yote na anawalinda.
Hata baada ya Allah wenu, Kuna mwingine atajitokeza na atashindwa.