Paschal qamara
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 2,218
- 3,958
ndio stori mnazodanganyana huko misikitiniHakuna myahudi mzungu. Hata hao kina Netanyahu ni wazungu waliotokea Poland, Uturuki, Greece na Ulaya mashariki ambao wamepelekwa hapo mashariki ya kati kwa ajili ya mpango maalumu wa kimasilahi ya wazungu, haswa Marekani na Uingereza.
A lot of things that were ordered and paid for by Israel, but have not been sent by Biden, are on their way!” Trump wrote on his social media app Truth Social, without providing further details.Weka ushaidi we zuzu wa kiyahudi wa kwa mtogore
Wajinga wanaojiita wasomi wanajitoa akili kutulazimisha tukariri kwamba hii ni SWALA kidini,Huu ni wizi kama wizi mwingine.Hakuna myahudi mzungu. Hata hao kina Netanyahu ni wazungu waliotokea Poland, Uturuki, Greece na Ulaya mashariki ambao wamepelekwa hapo mashariki ya kati kwa ajili ya mpango maalumu wa kimasilahi ya wazungu, haswa Marekani na Uingereza.
Mpumbavu babako,tunatumia macho wote,tunaona kila kitu Mimi siwezi kuwasikiliza hamasi kwa sababu uislam umetumika kama koti muda mrefu kujaribu na kukamilishia misheni nyingi za kijinga.Kama huwezi kujadiliana kwa ADABU usitukane watu.Kama huamini kwamba ni mgogoro wa kidini basi wewe ni mpumbavu. Kama siyo mgogoro wa kidini kwanini Hamas waliita oparesheni yao Al Aqsa Flood?
Bora kuwa mjinga kuliko kuwa mpumbavu kama wewe kwa sababu huwezi kuelimika
Kama upumbavu ni neno zuri mpe na mamako.6 pack alishamaliza nada hii.Kama ni matusi umeyaanza wewe. Kama huwasikilizi Hamas unawasikiliza akina nani? Huo uislamu unaotumika kama koti hauhalalishi walichokifanya Hamas?
Narudia kusema kwamba wewe ni mpumbavu kwa sababu unafananisha harakati za kidini na kudai uhuru.
Wapelestina wangekuwa wanadai uhuru wangekuwa huru muda mrefu, ila kwa vile wanapigana jihadi ndo maana imewawia vigumu kupata uhuru.
Dawa mpumbavu mwenzangu,asante sana.😂😂😂Pole sana, na uache upambavu
Huwajui wazungu,mada yangu ya mwisho kwako.Mimi siyo mpambavu kama wewe ambaye huelewi kwamba vita ya Gaza ni ya kidini
Mpogoro na waarabu wapi na wapi?kama umeshikwa shikwa wewe.Mimi siyo mpumbavu kama wewe kwa sababu waliyofanya ndugu zako katika imani na maneno yao ya kijihad yapo wazi.
Sitegemei kuambiwa na watu kama wewe ulivyoshikiwa akili na waarabu
Kumbe unaniona huko uliko aisee una macho,ngoja nikusalimie shpogolo NENGA NAKUFIRA MPAKA KUMOYO.mpogoro mtumwa wa waarabu. Pamoja na weusi wako bado unafuga ndevu ufanane nao.
Watu wanapambana kuokoa msikiti wewe unawaita wapigania uhuru. Bure kabisa
Tunaomba Ushaidi wa unachosema!!!!! ?????? Mm naweza kukwambia ISRAEL ilibutuliwa na IRAN Ushaidi upo,, aya naww lete Ushaidi IRAN Ikipigwa!!??????Iran walishachakazwa na marubani wa kike wa Israel
Viwanda vya makombora na drones vilipigwa, wanajeshi wanne walichomolewa, mitambo ya kubaini na kuzuia mashambulizi ya anga haikuweza chochote ilichakazwa, Mitambo ya kufua umeme ilifumuliwa.
Duh hatari kwelikweliWiki ya kwanza tu baada ya kurejea Ikulu, Rais wa Marekani Donald Trump aliharakisha usafirishaji wa shehena ya mabomu 1,800 aina ya MK-84, kila moja likiwa na uzito wa tani moja, mabomu hayo yamewasili rasmi Israel siku ya Jumamosi, tarehe 15 Februari 2025 kwenye bandari ya Israel.
View attachment 3239227
Uamuzi huu unaleta mabadiliko makubwa katika mkondo wa diplomasia ya Marekani kuelekea Israel, hasa baada ya mtangulizi wake, Joseph Biden, kuzuia usafirishaji wa silaha hizo.
Wakati wa utawala wa Biden uhusiano kati ya Marekani na Israel ulikuwa umedorora, kulikuwepo uvujishaji wa taarifa nyeti kuhusu mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran, Biden alikataa kumpokea Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu alipowasili Marekani na hata hakuhudhuria hotuba yake katika Bunge la Wawakilishi, ingawa idadi kubwa ya wabunge walihudhuria.
Mabomu ya MK-84 yanajulikana kwa uwezo wake mkubwa wa uharibifu, yanaweza kupenya hadi inchi 15 za chuma au futi 11 za saruji, na kusababisha mashimo yenye kipenyo cha takriban futi 50 na kina cha futi 36 baada ya kulipuka. Usafirishaji huu unasisitiza uhusiano wa kijeshi ulio imara kati ya Marekani na Israeli na unafanyika katikati ya usitishaji mapigano.
Video inaonyesha mfano
View attachment 3239242
Wayahudi og wako wapi?Hakuna myahudi mzungu. Hata hao kina Netanyahu ni wazungu waliotokea Poland, Uturuki, Greece na Ulaya mashariki ambao wamepelekwa hapo mashariki ya kati kwa ajili ya mpango maalumu wa kimasilahi ya wazungu, haswa Marekani na Uingereza.
Wapo Israel. Lakini hawapewi nafasi ya kufanya maamuzi kwenye serikali, jeshi wala mahakama.Wayahudi og wako wapi?