Huyu jamaa aliishi ktk future. Yani aliwajua wazungu vilivyo.View attachment 2672793
Walipigwa matukio wakaona tumchore Kama jitu katiri Gaidi Lila nyama za watu .
Bado nawasoma viongozi woote waliowekwa label za ubaya na watu weupe. ila ni kwa vitabu vya watu weusi pekee.
Kamanda kabisa yani.Hahaha hahaha, mwamba huyoo
Wewe hata hueleweki unaandika nini "jamaa" zako ndiyo kina nani hao?Jamaa always wanakuwa mbele kifikra miongo 10 mbele,nasi tunaibiwa kama zuzu na kichupa Cha dhahabu,alijisemeaga hayati Nyerere.
Team madrasa huwezi nielewa🙏🏌️byeWewe hata hueleweki unaandika nini "jamaa" zako ndiyo kina nani hao?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kumbe ndivyo unavyofikiria. Ni nini maana ya madrassa?Team madrasa huwezi nielewa🙏🏌️bye
Ni sehemu ya kukaririshana kama kasuku na kucheza dufuKumbe ndivyo unavyofikiria. Ni nini maana ya madrassa?
Kwa hiyo unataka kusema kwamba hizo zilikuwa ziara za kuuza nchi?????Kuna umuhimu wa kwenda ughaibuni mara kwa mara ili mambo kama haya yawe ya kawaida..
Sio punde tu unakuwa Rais and you have never boarded a flight. Shida lazima. 😂😂
View attachment 2672787
Ni elim ahera ya Mungu anae sikia kiarabu tu wala hawezi sikia lugha nyingine.... Tena anawaambia msisome shule yeyote ya duniani ilihali mpo duniani.. sababu eti elimu ya duniani na lugha zake zote ni za kikafiri ilihali na kiarabu nacho kinazungumzwa dunianiKumbe ndivyo unavyofikiria. Ni nini maana ya madrassa?
Ndo mana anakua mkali