Macho mekundu inasumbua sehemu nyingi sio dar peke yake ila hiyo ya matako tena mpya hiyoMatumbo ya lini hiyo? Mbona ilipita kimya? Macho mekundu Dar peke yenu… Dar mnapitia mengi jaman
Macho mekundu nilipo sikuisikia wala kuiona kabisaMacho mekundu inasumbua sehemu nyingi sio dar peke yake ila hiyo ya matako tena mpya hiyo
Kuna maradhi ya upinde?Upinde
Huko kwenu hakuna hata wala tutu wenye macho mekundu?Macho mekundu nilipo sikuisikia wala kuiona kabisa
Hii ya macho mie Wala sikuumwa 😁🤣😂😂Matumbo ya lini hiyo? Mbona ilipita kimya? Macho mekundu Dar peke yenu… Dar mnapitia mengi jaman
Sijaona.Huko kwenu hakuna hata wala tutu wenye macho mekundu?
Matumbo ya lini hiyo? Mbona ilipita kimya? Macho mekundu Dar peke yenu… Dar mnapitia mengi jaman
Tumwombe mungu au tufanye tafiti? Africa bhanaYaani tangu tuanze hakuna kupumua wala kupumzika kila siku ni mlipuko wa maradhi bandika bandua!
Ilianza CORONA mara ikaja VICHWA NA MAFUA mara ikaja MATUMBO NA KUHARISHA mara ikaja MADONDA KWA WATOTO mara KUKOHOA mara tena MACHO MEKUNDU Mara nasikia kuna inakuja hiyo ya MATAKO KUUMA bila sababu mwee! Tutakaaje sasa!?🤣
Mbona kila siku tunapigwa na kitu kizito kichwani tena chenye ncha kali?
Tumuombe sana Mwenyezi Mungu kwakweli atujaalie mwisho mwema maana kufa ni lazima ila haya mateso siyo lazima!
Basi mnaishi kistaarabu sana.Dasalama ni lango la kila jema na baya.Bahari inadaka na kuingiza yote.Uchambuzi ni kwa wakazi wake.Sijaona.
Kuna mitihani haibebeki. Tiktok kuna msanii anaitwa Hawa, b4 hapo sijawahi kumfahamu.Wakati mwingine Mungu anatupitisha kwenye Mitihani ili walau kupata nafasi ya kumkumbuka kwamba alikwepo/yupo/ataendelea kuwepo.
Kama anaweza kuhamisha milima, vipi kuhusu hayo maradhi madogo ya macho/matumbo.
Mbona kijijini kwetu hayafiki? Ilifanikiwa kufika corona tu.Hapana kiongozi, mimi nipo kijijini+ lakini mambo ya Dar yote tunaexperience sijui hata tumewakosea nini hawa watu wa Dar mpaka watuletee huku
Kumbe uliondoka Dsm binti madeko!Macho mekundu nilipo sikuisikia wala kuiona kabisa
Vyote kwa pamoja kwa kuanza na kumuomba kheri Maanani.Tumwombe mungu au tufanye tafiti? Africa bhana
😁😁Kumbe uliondoka Dsm binti madeko!