Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa aliye imba na diamond nitarejea?Kuna mitihani haibebeki. Tiktok kuna msanii anaitwa Hawa, b4 hapo sijawahi kumfahamu.
Nimeanza kumuona hivi wanavyompost post na maradhi yake.
Haelewi haswa chanzo cha ugonjwa, ila unaambiwa amefanyiwa operation 22 za tumbo 🥹😭
Mara mshono ufumukuke. Yan ni heka heka nzito
Hahahaha........... mwenyewe ndiyo nimesikia kwake.Macho mekundu inasumbua sehemu nyingi sio dar peke yake ila hiyo ya matako tena mpya hiyo
🌈 iyo ya matakto kuuma bila sababuKuna maradhi ya upinde?
Nmeelewa uliposema maradhi yamezidi na solution yake tumwombe mungu pekeeUmeelewa kweli nilichoandika?
Labda ni wacheza judo!🌈 iyo ya matakto kuuma bila sababu
Kama hujui ni uzushi au magonjwa kuzuliwa ili biashara ya sekta ya afya ipate kuuza. Yaani kuna uzushi kimataifa kuzua pandemics. Hizi zinasukwa kwa maarifa makubwa. Magonjwa kama ukimwi, corona etc. Na kuna epidemics hivi za kitaifa mtazuliwa chochote mradi wauze.Yaani tangu tuanze hakuna kupumua wala kupumzika kila siku ni mlipuko wa maradhi bandika bandua!
Ilianza CORONA mara ikaja VICHWA NA MAFUA mara ikaja MATUMBO NA KUHARISHA mara ikaja MADONDA KWA WATOTO mara KUKOHOA mara tena MACHO MEKUNDU Mara nasikia kuna inakuja hiyo ya MATAKO KUUMA bila sababu mwee! Tutakaaje sasa!?🤣
Mbona kila siku tunapigwa na kitu kizito kichwani tena chenye ncha kali?
Tumuombe sana Mwenyezi Mungu kwakweli atujaalie mwisho mwema maana kufa ni lazima ila haya mateso siyo lazima!
Ni kweli usemacho, lakini sio kwamba kuugua kwake ndiyo hawezi kupona.Kuna mitihani haibebeki. Tiktok kuna msanii anaitwa Hawa, b4 hapo sijawahi kumfahamu.
Nimeanza kumuona hivi wanavyompost post na maradhi yake.
Haelewi haswa chanzo cha ugonjwa, ila unaambiwa amefanyiwa operation 22 za tumbo 🥹😭
Mara mshono ufumukuke. Yan ni heka heka nzito
Hivi,unaelewa maana ya neno "uzushi "?Tumia neno linavyostahili ili ueleweke.Kama hujui ni uzushi au magonjwa kzuliwa ili biashara ya sekta ya afya ipate kuuza. Yaani kuna uzushi kimataifa kuzua pandemics. Hizi zinasukwa kwa maarifa makubwa. Magonjwa kama ukimwi, corona etc. Na kuna epidemics hivi za kitaifa mtazuliwa chochote mradi wauze.
Acha yule hawa wa Mond aliyeonekana kwenye shilawadu hapo chuzi kati kakonda mpk huruma.Hawa aliye imba na diamond nitarejea?
Duh aisee polee yake au Itakuwa alikuwa na madonda tumbo tumboni wakamfanyia upasuaji 😭😭😭😭Acha yule hawa wa Mond aliyeonekana kwenye shilawadu hapo chuzi kati kakonda mpk huruma.
Huyu mgonjwa anaitwa Careen Hawa
Ndio mara 22?Duh aisee polee yake au Itakuwa alikuwa na madonda tumbo tumboni wakamfanyia upasuaji 😭😭😭😭
Nimelia sana 😭😭😭😭😭Ndio mara 22?
Kabsaa ,red eyes imepita mikoa mingi . Nilienda Shinyanga nikaukuta wilaya fulani hivi.Macho mekundu inasumbua sehemu nyingi sio dar peke yake ila hiyo ya matako tena mpya hiyo