Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watapigwa chini 2025 sio leo.mbona kayajibu yote.
Swala la katiba mpya amesema yeye na chama chake wameridhia na soon hiyo tume ya kuendeleza mchakato wa katiba mpya soon ataitangaza.
Swala la cd19 amesema waachie mkondo wake, wewe ulitaka atangaze azarani kuwa atalishuhulikia? Hapo si itaonekana ameingilia mahakama moja kwa moja?
kama Mbowe kamtangazia kuwa wao kama Chadema hawakupeleka majina basi ujue kifuatacho ni wabunge wengine 19 watateuliwa na chama na hao uviko 19 watapigwa chini
Off course rough lazima itakuwepo. Ila itaondoa hii kero ya kutawaliwa na weusi wenzetu na viongozi wengi watapatikana kwa kuchaguliwa na wananchi. Siyo kama 2020 JPM na Mahela wanakaa na kuteua watu wao aingie Bungeni. Kwa ujumla naona nafuu zaidi.Vyenga vya leo vinatosha kabisa kuona kuna mmoja katika maridhiano haya yanampa faida kuubwa sana hasa huko tuendako, na kuna yule ambaye anafurahia vinono vya muda mfupi!
Maridhiano kwa nchi kama hii yetu yenye watu waliozoea Amani kama maji ya mtungini ni mhimu sana kwa mstakabali wa nchi na Amani kwa ujumla.
Amani yetu ni utamaduni wetu na utamaduni wetu ni Amani yetu! Hongereni viongozi wote mlioshiriki jambo hili la faida kubwa kwenye nchi yetu!
Lakini Je, Sote tunayo macho ya kuona zaidi ya kuona?
Kuna mmoja anaona maridhiano pekee na kuna anayeona zaidi ya maridhiano!
Kwa vyenga vya leo! Mmh!
Tukutane 2025
Sawa mkuuOff course rough lazima itakuwepo. Ila itaondoa hii kero ya kutawaliwa na weusi wenzetu na viongozi wengi watapatikana kwa kuchaguliwa na wananchi. Siyo kama 2020 JPM na Mahela wanakaa na kutua watu wao aingie Bungeni. Kwa ujumla naona nafuu zaidi.
Nitajie Jimbo ata Moja watakalo shindaa.Hadi sasa samia ni rais 2025. Wataachiwa wapinzani wabunge tuu na ilo chadema wanalitambua