Haya maridhiano kuna mmoja atakuja kushtuka imeshakuwa asubuhi!

Watapigwa chini 2025 sio leo.
 
Off course rough lazima itakuwepo. Ila itaondoa hii kero ya kutawaliwa na weusi wenzetu na viongozi wengi watapatikana kwa kuchaguliwa na wananchi. Siyo kama 2020 JPM na Mahela wanakaa na kuteua watu wao aingie Bungeni. Kwa ujumla naona nafuu zaidi.
 
Off course rough lazima itakuwepo. Ila itaondoa hii kero ya kutawaliwa na weusi wenzetu na viongozi wengi watapatikana kwa kuchaguliwa na wananchi. Siyo kama 2020 JPM na Mahela wanakaa na kutua watu wao aingie Bungeni. Kwa ujumla naona nafuu zaidi.
Sawa mkuu
 
KAULI MAARUFU

MAMA ATAWAACHIA MAJIMBO KADHAA



Swali la Msingi.. Anaegawa majimbo ni Rais au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…