Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni sawa na Yunge Mkubwa na Yunge Mdogo.Kwahiyo Yao ahoua charles na jean ahoua ni watu wawili tofauti na wote wamesajiliwa simba?
Ni sahihi huyo kwenye DP ndio wewe? Mbona ID na DP haviendani? 😀😃😄😁The over rated team
Sawa.Hao ni sawa na Yunge Mkubwa na Yunge Mdogo.
Kuna timu ngapi kwenye ligi kuu?? Wazawa watacheza huko...Isipopita sheria ndogo ya kulinda wazawa msimu ujao tutaona wageni pekee wakicheza hizi team kubwa
Yanga ni Bacca na Job ndio watakuwa regular
Simba ni Zimbwe na Kibu labda namna nyingine itokee.
NB.kila mechi wazawa 4 wacheze si chini ya dk 45
Wazawa nao wapige kazi wasisubiri kulindwa. Mzawa kama Kenned Juma akageuka kama bajaji nani atampangaIsipopita sheria ndogo ya kulinda wazawa msimu ujao tutaona wageni pekee wakicheza hizi team kubwa
Yanga ni Bacca na Job ndio watakuwa regular
Simba ni Zimbwe na Kibu labda namna nyingine itokee.
NB.kila mechi wazawa 4 wacheze si chini ya dk 45
Kwahiyo Yao ahoua charles na jean ahoua ni watu wawili tofauti na wote wamesajiliwa simba?
Heee, nilijua ni mtu mmojaNdio, ni wawili tofauti. Mmoja anatoka ligi ya Ivory Coast, mwingine ya Russia. Wote ni raia wa Pwani ya Pembe
View attachment 3033991
Ni kama enzi zile Simba tulivyotaka kukata rufaa dhidi ya Stella Abidjan, maana kulikuwa na wachezaji wawili wanafanana majina, tukadhani Stella walichezesha mamluki. Walikuwa ni Boli Zozo Jean na Boli Zozo LaurentHeee, nilijua ni mtu mmoja
Unaumwa weweThe over rated team
Mambo yakiharibika Mangungu anatupiwa mzigo 😃😃Kiko safi sana
Nyakati zenu hizi hatuwashangai, ligi ikianza munapiteana na zigo lote la lawama munamtupia mangungu.Usajili wa msimu huu yanga watapoteana kubababake