Haya mashamba ya bangi DC wa Tarime anajua?

Haya mashamba ya bangi DC wa Tarime anajua?

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Kuna vijiji ukipita huko tarime unaweza hisi awako tanzania wako na nchi yao

Hivi vijiji kuna mashamba mengi na kwa pembeni mtaona miwaa imezunguka

Ukibahatika kuingia ndani unaweza dondoka gafla n bangi za kufa mtu

Siohilo wananchi wamefikia hata kuvuna bila uwoga na kupeleka mzigo mpaka barabaran

Hapo. Kuna wanaume wanakuja na kubeba unaenda wapi sijui!!?

Naamini kwa dodoso hili kama walikuwa awajui basi uongozi wa tarime waashirikiane na wa vijijini kuteketeza haya mashamba yanaangamiza vijana wasio na hatia kabisa ......

Tusisubiri kukamata kwenye magari yao huku ikijulikana zinatokea wapi
 
Mwandiko mchafu hata huyo DC hawezi soma.kunataarifa za kufikisha na si bangi ambayo wanafikiri kuipa ruhusa wewe unajitia kuijua Sana choko ww
USIMJIBU MJINGA USIJE FANANA NAEE
SIMBA ANAKUJA TARIMEE MJIANDAEE VIJIJI VYOTE TUSHAORODHESHA
 
Tarime aisee hatari unaweza kutana na kundi kubwa la Punda wamebebeshwa mizigo shingoni.
Balaa la kumkagua Punda kwenye beria Kama hajakuzoea si la kitoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BASIASI,

Wewe ulitakiwa kuwa Muhanga wa Mwamposa.

Bangi inashida gani; ? Ni ushamba wenu tu.

Ni zao kama zao lingine na Serikali inatakiwa kuhakikisha zao hili linauzwa kihalali na kutoa ajira kwa raia.

Mbona Pombe ni more dangerous na inauzwa kihalali na kuwapa watu ajira.

Acheni mambo yakipumbavu watizedi; Bangi ni ajira, Bangi ni chakula, Bangi ni dawa, Bangi ni divine consciousness, Bangi ni Mental Strength, Bangi ni blessing from Al mighty. Bangi is the way to humanity, Bangi is the way to truth of life itself.

90 % ya great beings pamoja na politicians wana vuta bangi na ndio wanawaongoza nyie mbululazi.

Ni ujinga wako wewe usiyejua namna ya kuitumia kwa ajili ya matokeo chaji;

Tangu uzaliwe ushawahi kusikia mtu amekufa kwa ku overdose Bangi ? Wake up

Kama unatumia Bangi kwa ajili ya recreational na fantasy zako basi lazima ikuharibu. Hata maji ni harmfully kama ukitumia pasipo mpangilio.

Vijana wengi wanavuta Bangi pasipo kujua why do they have to smoke; that is the most dangerous thing. Ndiyo maana wanaishia kuwa Maluza tu.
 
BASIASI,
Nenda katoe taarifa Polisi ya nini kuja kudhalilisha jamii nzima hapa, tabia za kimbea zitakuja kukutoa roho au upewe Mimba ya Utotoni uliyoyaona huko. kati ya kitu uepuke ni hizi tabia za kike kike ukiwa huko vinginevyo RIP in advance
 
Back
Top Bottom