Kwahiyo Kiba ni balozi wa Sony ????Mkataba na Sony vs mkataba wa Tomato
Asa c mumpongeze tuu
Hongera diamondplatnumz aka domo
Hahahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hapo umempongeza au umemkashifu [emoji125]
Lip sinc battle sio kitu serious. Hii Ni Kama comedy TV show ambayo celebrity tofauti wanakuja kushinda kwa kuigiza kuimba na kucheza nyimbo za wasanii tofauti na hadhira inaamua mshindi kwa kunyoosha mikono Tu.
Waafrika hawana dogo au tuseme ugeni wa mambo lakini hili kipindi kimeanzia Marekani na host wake Ni LL Cool J na Chris Tegen na wala sio kitu cha kubishana kuwa flani Ni bingwa kwasababu sio serious issue
Ahaaa kumbe kashindana na kushindaaaa! Mi nkadhan ametoka nao hom, bas kumbe n seriously
Hahaha Sir God anakuona ujue.Teh Teh
Mimi na binti kiziwi tulivyo mashabiki wa prince tulizimia mara tatu baada ya kusikia tusiyempenda amepata mkanda tena kama wamieleka basi na sisi lazima tuanzishe wa kwetu hapa kariakoo!
Unajua bwana Mungu ni wa ajabu sana unapo endelea kumchukia mtu ndio unazidi mkumbariki!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa acha dharauMkataba na Sony vs mkataba wa Tomato
Nahisi ugeni wa mambo ndo unachangia kwa mwenye uelewa na hii tuzo anaweza kutwambia inahusu nini?
Maana naona Insta kumechafuka sanaaa ni Diamond na Mkandaa huu alio shindaa,ukiendaa huku utakutana na wimbo wa Raymond Natafuta Kiki,ukisema ukimbilie huku utakutana na Harmonize na Clip yake akisakamwa yaani vurugu tupuuuu! Watu wamesahau hata kama Alikiba Alitoa wimbo Wa Aje wiki moja iliyo pita,wameshasahu kama Alikiba anaendelea Ku announce major announcment,wameshasahau hata annoucment alizo zitoa!
Sasa mimi sielewii naona tuuu videos kibao za Mond akicheza hakika anajitahidi na pongezi kibao kwa Diamond kuhusu huu mkanda alio uchukua mwenye kuujua Tafadhari
kwa africa host ni d'banj na palesa motaung yule dada aliyekuwa actress wa isidingo.Lip sinc battle sio kitu serious. Hii Ni Kama comedy TV show ambayo celebrity tofauti wanakuja kushinda kwa kuigiza kuimba na kucheza nyimbo za wasanii tofauti na hadhira inaamua mshindi kwa kunyoosha mikono Tu.
Waafrika hawana dogo au tuseme ugeni wa mambo lakini hili kipindi kimeanzia Marekani na host wake Ni LL Cool J na Chris Tegen na wala sio kitu cha kubishana kuwa flani Ni bingwa kwasababu sio serious issue
We hujui,ukielezwa unabisha.sema unayoyajua wewe na uweke link tuone.Lip sinc battle sio kitu serious. Hii Ni Kama comedy TV show ambayo celebrity tofauti wanakuja kushinda kwa kuigiza kuimba na kucheza nyimbo za wasanii tofauti na hadhira inaamua mshindi kwa kunyoosha mikono Tu.
Waafrika hawana dogo au tuseme ugeni wa mambo lakini hili kipindi kimeanzia Marekani na host wake Ni LL Cool J na Chris Tegen na wala sio kitu cha kubishana kuwa flani Ni bingwa kwasababu sio serious issue
Weka link tuoanishe na ulichoandika
yaan ndugu inaonyesha wazi huijui industry ya muzic sony ni recording label kama tu wcb,pkp,mkubwa na wanawe,young money na nyingine lakin tomato ni bidhaa ambayo diamond ndio balozi wake kwahyo vitu viwil tofauti! swali kwako umesoma hadi darasa la ngap?Mkataba na Sony vs mkataba wa Tomato
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Announcement #1 Announcement #2 major world wide announcement #3 announcememt #4 Zote chali daaahNahisi ugeni wa mambo ndo unachangia kwa mwenye uelewa na hii tuzo anaweza kutwambia inahusu nini?
Maana naona Insta kumechafuka sanaaa ni Diamond na Mkandaa huu alio shindaa,ukiendaa huku utakutana na wimbo wa Raymond Natafuta Kiki,ukisema ukimbilie huku utakutana na Harmonize na Clip yake akisakamwa yaani vurugu tupuuuu! Watu wamesahau hata kama Alikiba Alitoa wimbo Wa Aje wiki moja iliyo pita,wameshasahu kama Alikiba anaendelea Ku announce major announcment,wameshasahau hata annoucment alizo zitoa!
Sasa mimi sielewii naona tuuu videos kibao za Mond akicheza hakika anajitahidi na pongezi kibao kwa Diamond kuhusu huu mkanda alio uchukua mwenye kuujua Tafadhari
We hujui,ukielezwa unabisha.sema unayoyajua wewe na uweke link tuone.