Haya mashindano aliyoshinda Diamond jana sijawahi kuyasikia!

Haya mashindano aliyoshinda Diamond jana sijawahi kuyasikia!

Lip sinc battle sio kitu serious. Hii Ni Kama comedy TV show ambayo celebrity tofauti wanakuja kushinda kwa kuigiza kuimba na kucheza nyimbo za wasanii tofauti na hadhira inaamua mshindi kwa kunyoosha mikono Tu.
Waafrika hawana dogo au tuseme ugeni wa mambo lakini hili kipindi kimeanzia Marekani na host wake Ni LL Cool J na Chris Tegen na wala sio kitu cha kubishana kuwa flani Ni bingwa kwasababu sio serious issue

Ahaaa kumbe kashindana na kushindaaaa! Mi nkadhan ametoka nao hom, bas kumbe n seriously
 
Teh Teh
Mimi na binti kiziwi tulivyo mashabiki wa prince tulizimia mara tatu baada ya kusikia tusiyempenda amepata mkanda tena kama wamieleka basi na sisi lazima tuanzishe wa kwetu hapa kariakoo!

Unajua bwana Mungu ni wa ajabu sana unapo endelea kumchukia mtu ndio unazidi mkumbariki!
Hahaha Sir God anakuona ujue.
 
Kwa mkanda huo lazima atakuwa amecheza muziki kimieleka- mieleka.
 
Nahisi ugeni wa mambo ndo unachangia kwa mwenye uelewa na hii tuzo anaweza kutwambia inahusu nini?

Maana naona Insta kumechafuka sanaaa ni Diamond na Mkandaa huu alio shindaa,ukiendaa huku utakutana na wimbo wa Raymond Natafuta Kiki,ukisema ukimbilie huku utakutana na Harmonize na Clip yake akisakamwa yaani vurugu tupuuuu! Watu wamesahau hata kama Alikiba Alitoa wimbo Wa Aje wiki moja iliyo pita,wameshasahu kama Alikiba anaendelea Ku announce major announcment,wameshasahau hata annoucment alizo zitoa!

Sasa mimi sielewii naona tuuu videos kibao za Mond akicheza hakika anajitahidi na pongezi kibao kwa Diamond kuhusu huu mkanda alio uchukua mwenye kuujua Tafadhari
c4ce0ac29a0ec93ab6d2864d94f8af14.jpg

Nenda club ndo utajua nyimbo ya aje inafanya nn?
 
Lip sinc battle sio kitu serious. Hii Ni Kama comedy TV show ambayo celebrity tofauti wanakuja kushinda kwa kuigiza kuimba na kucheza nyimbo za wasanii tofauti na hadhira inaamua mshindi kwa kunyoosha mikono Tu.
Waafrika hawana dogo au tuseme ugeni wa mambo lakini hili kipindi kimeanzia Marekani na host wake Ni LL Cool J na Chris Tegen na wala sio kitu cha kubishana kuwa flani Ni bingwa kwasababu sio serious issue
kwa africa host ni d'banj na palesa motaung yule dada aliyekuwa actress wa isidingo.
 
Lip sinc battle sio kitu serious. Hii Ni Kama comedy TV show ambayo celebrity tofauti wanakuja kushinda kwa kuigiza kuimba na kucheza nyimbo za wasanii tofauti na hadhira inaamua mshindi kwa kunyoosha mikono Tu.
Waafrika hawana dogo au tuseme ugeni wa mambo lakini hili kipindi kimeanzia Marekani na host wake Ni LL Cool J na Chris Tegen na wala sio kitu cha kubishana kuwa flani Ni bingwa kwasababu sio serious issue
We hujui,ukielezwa unabisha.sema unayoyajua wewe na uweke link tuone.
Weka link tuoanishe na ulichoandika
 
hii nazani itampa kick pia kwenye tuzo za BET anazowania mwaka huu,na pia kama fununu zinavosema kwamba this year atapanda jukwaa la BET kuperform bs nazani waandaji watasema bila shaka hatujakosea kumchagua huyu mtu kuwa moja kati ya perfomers wa iyo siku.
 
Mkataba na Sony vs mkataba wa Tomato
yaan ndugu inaonyesha wazi huijui industry ya muzic sony ni recording label kama tu wcb,pkp,mkubwa na wanawe,young money na nyingine lakin tomato ni bidhaa ambayo diamond ndio balozi wake kwahyo vitu viwil tofauti! swali kwako umesoma hadi darasa la ngap?
 
Nahisi ugeni wa mambo ndo unachangia kwa mwenye uelewa na hii tuzo anaweza kutwambia inahusu nini?

Maana naona Insta kumechafuka sanaaa ni Diamond na Mkandaa huu alio shindaa,ukiendaa huku utakutana na wimbo wa Raymond Natafuta Kiki,ukisema ukimbilie huku utakutana na Harmonize na Clip yake akisakamwa yaani vurugu tupuuuu! Watu wamesahau hata kama Alikiba Alitoa wimbo Wa Aje wiki moja iliyo pita,wameshasahu kama Alikiba anaendelea Ku announce major announcment,wameshasahau hata annoucment alizo zitoa!

Sasa mimi sielewii naona tuuu videos kibao za Mond akicheza hakika anajitahidi na pongezi kibao kwa Diamond kuhusu huu mkanda alio uchukua mwenye kuujua Tafadhari
c4ce0ac29a0ec93ab6d2864d94f8af14.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Announcement #1 Announcement #2 major world wide announcement #3 announcememt #4 Zote chali daaah
 
We hujui,ukielezwa unabisha.sema unayoyajua wewe na uweke link tuone.


Mi sibishi kitu hapa, Bali nimeelezea jinsi ninavyoifahamu Lipsinc Battle. Link nimeweka angalia post namba 12 na 13 uone original version ya wenye Lipsinc Battle Yao. Naona wabongo mnataka kuuana kwa vitu msivyovijua
 
Back
Top Bottom