Haya "masmartphone" makubwa mnawezaje kuyaweka masikioni?

Kuna supu mpaka za sh. 200, miksa makwarukwaru, kila mtu na bakuli lake kwenye kona yake, haina kuangaliana usoni hiyo.
[emoji23][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wikiendi nafungaga mtaa Basi Mbili nzima, nanunua zangu viazi vitamu vya kukaanga arobaini, au hata hamsini, nikila asubuhi sili mpaka kesho yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usisahau barabara ya 9Kuna bagia za tsh 50
 
Usisahau barabara ya 9Kuna bagia za tsh 50
Dodoma nina dada wengi,usishangae siku mara paap kumbe Demiss ni dada yangu,tacheka sana,maana JF kukushangaza mtu ni dk 0 tu...
 
Dodoma nina dada wengi,usishangae siku mara paap kumbe Demiss ni dada yangu,tacheka sana,maana JF kukushangaza mtu ni dk 0 tu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dooh, umetisha mkuu
 
Kuna supu mpaka za sh. 200, miksa makwarukwaru, kila mtu na bakuli lake kwenye kona yake, haina kuangaliana usoni hiyo.
Makwarukwaru +malapulapu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] litajua tumbo linalo pokea duu jamani
 
Hatari chips buku unakula unaacha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maisha rahisi tu halafu watu wanalia vyuma vimekaza [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maisha rahisi tu halafu watu wanalia vyuma vimekaza [emoji23][emoji23][emoji23]
Shangaaaa mboga za majani mfano chainiz zimefungwa 6 kila fungu unapewa mafungu ma3 Mia mbili hapo sawa na chainizi 18 kwa moja moja huku kwetu 500 unakula kwa siku unga upo ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…