wakunyonya
JF-Expert Member
- Feb 5, 2024
- 520
- 1,414
- Thread starter
-
- #81
Ludi soma tena siyo unakulupuka tuMimesoma tu tukio la kwanza na kugungua ama wewe ni mtoto under 18 au mjinga fulani? Wewe tangu lini uongo wako ukazidi uongo wa polisi? Yaani uwasingizie polisi uongo? Pili! Uo mchakato wa mashitaka ya polisi ambayo ndo serikali yenyewe ndo ulipwe fasta hivyo? Acho uongo kijana!
Hawawezi kuamin HawaKama unafikiri pilisi anajua urongo nenda TANGA.
Yuko polisi mmoja aliyekua anajifanya mjuaji Sana. Kuna siku alipangwa kulinda benki usiku. Sasa kufika mida ya swala swala akapitiwa na kajiusingizi kadogo tu. Ile anastuka anajikuta Yuko uchi wa mnyama lakini bunduki yake anayo Ila nguo hazipo.
Basialitumia advantage ya lile Giza la asubuhi kwenda kwake fasta, alipofika nyumbani nguo zake za kazi alizikuta pale pale zinapokaaga.
Yule mujuba hakutaka mengi, aliomba uhamisho kwa nguvu zote.
Ulikesha makaburini mlikua mnafanya nini ? Ndio ninyi wezi wa kufukua majeneza!!Kwa umri wangu nilionao sijawahi wala watu wangu wa karibu kushuhudia/kufanyiwa uchawi vipi niamini???
Kama ni makaburini mkuu watu tulishawahi kukeshe tena bila hata taa Chaa ajabu sana labda mbwa kuja kupandiana ila sio unaowaita "mizimu/wachawi"
Sifa kuu ya uchawi ni kubomoa, na kufanikiwa ni lazima damu imwagwe.Uchawi ungekuwepo ingejulikana tu, watu wasingeteseka na vitu kama kuomba kazi na kutibu cancer wakati uchawi upo....
Ungeuliza usingepungukiwa kitu!Ulikesha makaburini mlikua mnafanya nini ? Ndio ninyi wezi wa kufukua majeneza!!
Jamii forums sio sehemu ya walevi nawahuni kama nyie. Bar na kwenye madanguro ndiko saiz yenu.[emoji1787] You made my day at last nimefurahi [emoji23]🪘