Haya matukio yalinifanya niamini uchawi upo

Haya matukio yalinifanya niamini uchawi upo

Mimesoma tu tukio la kwanza na kugungua ama wewe ni mtoto under 18 au mjinga fulani? Wewe tangu lini uongo wako ukazidi uongo wa polisi? Yaani uwasingizie polisi uongo? Pili! Uo mchakato wa mashitaka ya polisi ambayo ndo serikali yenyewe ndo ulipwe fasta hivyo? Acho uongo kijana!
Ludi soma tena siyo unakulupuka tu
 
Kama unafikiri pilisi anajua urongo nenda TANGA.
Yuko polisi mmoja aliyekua anajifanya mjuaji Sana. Kuna siku alipangwa kulinda benki usiku. Sasa kufika mida ya swala swala akapitiwa na kajiusingizi kadogo tu. Ile anastuka anajikuta Yuko uchi wa mnyama lakini bunduki yake anayo Ila nguo hazipo.
Basialitumia advantage ya lile Giza la asubuhi kwenda kwake fasta, alipofika nyumbani nguo zake za kazi alizikuta pale pale zinapokaaga.
Yule mujuba hakutaka mengi, aliomba uhamisho kwa nguvu zote.
Hawawezi kuamin Hawa
 
Taja Jina la kijiji,,, Stori za Fulani,,mara mahala Fulani hazina afya kwenye bongo nyingi za wasomaji Mada wa sasa...Nenda kwenye pointi dairekti maliza Mada acha kuwa kama bashe
 
Kwa umri wangu nilionao sijawahi wala watu wangu wa karibu kushuhudia/kufanyiwa uchawi vipi niamini???


Kama ni makaburini mkuu watu tulishawahi kukeshe tena bila hata taa Chaa ajabu sana labda mbwa kuja kupandiana ila sio unaowaita "mizimu/wachawi"
Ulikesha makaburini mlikua mnafanya nini ? Ndio ninyi wezi wa kufukua majeneza!!
 
Ulikesha makaburini mlikua mnafanya nini ? Ndio ninyi wezi wa kufukua majeneza!!
Ungeuliza usingepungukiwa kitu!

Anyways ulikuwa msiba wa mtu wangu wa karibu ambao ulinisumbua sana kukubali umetokea😢😢😢
 
Back
Top Bottom