Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametupiga bonge la gape hivyo lazima waendelee kula, Kuchota, Kuchukua na mikataba yenye vipindi virefu bila wasi kwani hata sasa bado hatujui Mwl. JKN alikubaliana vipi na wao hata kukabidhiwa nchi pasipo vita!Tunahitaji mabadiliko makubwa nchi hii. La ajabu wanaokuwa viongozi ni wale wapuuzi wasio na weledi wala elimu. Wenye elimu kamwe hawapewi nafasi.
Wazungu wanajua madini yetu yapo wapi na ni kiasi gani kuliko sisi na tunategemea takwimu zao kujua tuna gesi, wanyama, mafuta, nk kiasi gani!
Kwa Msomi kukubali Dhana ya kwamba yuko ( anaishi ) katika Nchi ya Ulimwengu wa Tatu ni dalili tosha kuwa Elimu aliyonayo haijamkomboa na ni Juha ( Fool ) tu kama Majuha ( Fools ) Wengine.Ndio maan ya kuitwa nchi za ulimwengu wa tatu.
Kibaya kabisa kupitia msemaji wa Polisi eti wanapinga taarifa ya Marekani kuwa sio kweli na hakuna kitu kama hicho!. Hivi karibuni tu nchi ya Marekani kupitia Ubalozi wao umetoa Tahadhari juu ya uwepo wa Tukio ( Tishio ) la Ugaidi nchini Tanzania huku wenye Kazi yao ( Intelijensia ) Police Tanzania wakiwa hawajui lolote na kama Intelijensia ya Police Tanzania inachokijua ni kujua tu wapi Vijiwe vya Gongo na Bangi vilipo.
Kwa Mimi binafsi nasadiki hill unalolisema, kwa kifupi sana bado tupo nyuma sana, na tuwategemezi kwa kila kitu afu tunakuwa na mashaka juu yao.1. Meli ya MV Bukoba ilipozama Ziwani tarehe 21 May, 1996 Wamarekani kupitia Satellite yao waliona na Kutushtua huku wenyewe tukibung'aa bung'aa tu...
Na kubambikizia watu 'ile kitu'Yenyewe yanajua kula posho tu na kusafiri hovyo.
Foolish.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bro unaikandia nchi yako na unamsifia kagame na kumkandia mzee wetu Kikwete!!!Kilingeni huwezi kuja unaficha ID kama mbuni waoga!!!Hamia burundi basi kama unaona Tz hakufai
Ndio ukweli huo hayo mengine ni maneno ya kujifariji tu.Kwa Msomi kukubali Dhana ya kwamba yuko ( anaishi ) katika Nchi ya Ulimwengu wa Tatu ni dalili tosha kuwa Elimu aliyonayo haijamkomboa na ni Juha ( Fool ) tu kama Majuha ( Fools ) Wengine.
Ambako Rais Mstaafu Kikwete anaenda na tena hadi kaomba / kaombwa ndiyo awe Mgeni Rasmi.Sisi tunachojuwa na kufatilia zaidi ni kukata mauno tu,hebu nchi nzima tukutane kwenye uzinduz wa Mario
Mlimani pale
Ova
We are reactive rather than proactive!1. Meli ya MV Bukoba ilipozama Ziwani tarehe 21 May, 1996 Wamarekani kupitia Satellite yao waliona na Kutushtua huku wenyewe tukibung'aa bung'aa tu.
2. Miaka kama Mitano au Saba iliyopita (kama sijasahau) Mvua Kubwa sana ilinyesha Mkoani Dar es Salaam iliyoleta Madhara makubwa cha Kushangaza Mitambo ya Hali ya Hewa ya Marekani ilishaona na Sisi Waswahili kama Kawaida yetu tulikuwa tunabung'aa bung'aa tu.
3. Hivi karibuni tu nchi ya Marekani kupitia Ubalozi wao umetoa Tahadhari juu ya uwepo wa Tukio ( Tishio ) la Ugaidi nchini Tanzania huku wenye Kazi yao (Intelijensia) Police Tanzania wakiwa hawajui lolote na kama Intelijensia ya Police Tanzania inachokijua ni kujua tu wapi Vijiwe vya Gongo na Bangi vilipo.
Tanzania bado sana.