Mabadiliko tunayaona............hadi raha
Insta kawa adimu ana post when necessary......
wenye visokorokwinyi wamekaa kujiashauaaaaa........habari ya mjini ndio hii
Mlioko ICU ninauza majeneza muanze kutoa oda mapema
Mie nasubiri uilete hiyo kesho na ukisahau nitakukumbusha.... hiyo kadi ya BMW kutoka kwa kaka manager
Hakuna maneno ni vitendo tu..
Team wapashukunaku umeona uko mwenyewe umeanza kumention watu.. utamention kijiji kizima ila habari ya mujini ndio hiyoooo
Kwahiyo tunaicheck ipi Murano au BMW?
Mimi ni mpenda maendeleo itafurahisha kadi ikionesha yeye ndio mmiliki otherwise mimi sipendi kuwafanyia filmee hawa mabinti zetu.
[/color]
Aiseee hahahaha
Jf mwisho wa matatizo
We binti una vituko hakika
Mpwa we umesema kesho waleta jina la mmliki ndio nalisubiria kwa hamu zoote...
This time NO more dramas
That girl kapitia mengi kuliko hata umri wake,ila bado yupo juu,nikikumbuka Penceli alivyomrecord,Penny nilimchukia sana kwa kile kitendo aisee,WEMA IS WEMA,kwa kweli tutafutage na majina mazuri ya kuwapa wanetu.WEMA miaka mabilion MUNGU AMPE MEMA KAMA JINA LAKE,
Hata KLYN kapita kwingi sana hadi kuja kunasa kwa machache,Wema sasa katulia tayari kwa kuwa mama wa watoto mwema.
Team kujipendekezaa mpooooo kwiii kwiiiiiii jitahidini hata na nyie muache kupanda daladala hiyo ni movie tu itakuja mpya soon
Inahuuu namention dunia nzima nzimaa hutaki kanye tikitiiii
Ukisikia PAA jua limekupata.. unapigwa kombora moja kama Al shabab unabaki kuweweseka.....
Hahaaaaaa mjini raha..
Jamaa wanajua kutumia nafasi kufanya biashara! Yani Wema nae alitakiwa kutumia hii nafasi kujinufaisha! Kwa mfano angefungua hata Duka sidhani kama kwa siku angeweza kukosa wateja ishirini(20)
Wema sepetu kwa Tanzania ni kama brand kabisa ambayo mtu anaweza fanyia biashara lakini sijui Wema mwenyewe anafikiri nini kwenye hili?Wema akiamua kutajirika kupitia Jina lake anaweza kabisa!
Diamond na timu yake wanajua kulitumia jina la Wema kufanya biashara lakini Wema hajui kutumia Jina lake kufanya Biashara!
Hata majina ya kina Jack yana bahati si unaon Klyn yupo kwenye mabilioni na hatupigii kelele, mimi hawa klyn na wengine nnaowajua mimi ndio nnawaaminiaa sio wanaotegemea papuchii
Mpwa mimi am too old kwa hizi Team Team nimeshapita rika hilo, ninachotaka mimi ni kusearch tu mmiliki wa gari kwenye kadi ili huyu asiwe anachezewa akili.
Siku hizi mimi hata kimkweche changu kulipia road licence nalipa nikiwa nyumbani kwa Max Malipo na Tra napeleka risiti tu kwa ajili ya kuprint out licence disk.
Hata wewe ukiamuwa kujuwa gari namba fulani mmiliki ni nani ni very simple mpwa wala siyo big issue.
Mie nasubiri uilete hiyo kesho na ukisahau nitakukumbusha.... hiyo kadi ya BMW kutoka kwa kaka manager
Hakuna maneno ni vitendo tu..
Team wapashukunaku umeona uko mwenyewe umeanza kumention watu.. utamention kijiji kizima ila habari ya mujini ndio hiyoooo
Nielekeze namna ya kujua nijue
Mpwa mie sina team.. team yangu familia yangu.. ko usinione kushabikia hapa ukazani ni zile #teammaandazi za insta...
Btw tuachane na haya hapa mie nashabikia kwa mengi kuna behind the scene ya huu ushangiliaji wangu
Nielekeze namna ya kujua nijue
Mpwa mie sina team.. team yangu familia yangu.. ko usinione kushabikia hapa ukazani ni zile #teammaandazi za insta...
Btw tuachane na haya hapa mie nashabikia kwa mengi kuna behind the scene ya huu ushangiliaji wangu
Mpwa kwani wewe hujanunuwa kavitz bado?
Wape namba ya gari Max Malipo waambie wakuangalizie kama road licence imelipwa na inaisha lini. Wasipokupa na jina la mmliki unawauliza TRA kwamba kuna mtu anataka kuniuzia gari namba hizi naomba kujuwa uhalali wake kabla sijalinunuwa. Just simple like that watakupa jina la mmiliki.