Haya ndio aliyosema Diamond kumtakia siku ya kuzaliwa Wema

Status
Not open for further replies.
Mpwa ni kadi ya gari gani hiyo Murano au BMW? Maana namba za gari zipo nataka kukata mzizi wa fitina nitaleta jina la mmiliki kesho.

Kwa hiyo leo katika ratiba zako umeweka na safari ya kwenda Tra kwa ajili ya kuhakikisha kuhusu magari ya Wema? Yote hayo ya nini?

Nchi hii ina watu wa ajabu sana.
 
Hahahahaaaaa, acha muvi iendelee. Na tuwaache walale wakiamka watakuwa wamejitambua.
 
My dear,kwani KLYN nae si papuch ndo iliyomfikisha hapo?nashangaa unamwaminia Klyn wakati na yeye Papuch ndo imemfikisha kuwa kimada wa Machache

Hivi klyn ni kimada?
Mi navyojua mi mke coz machache alitengana na mkewe kisheria!
 
Hivi klyn ni kimada?
Mi navyojua mi mke coz machache alitengana na mkewe kisheria!
Mengi hajawahi kutoa talaka kwa Mama Mercy Mengi,ni wamaseparate kimutual tu.KLYN ni kimada tu,labda mke wa Mengi afe,then Mengi afunge ndoa na Jack
 
Kwahiyo tunaicheck ipi Murano au BMW?

Mimi ni mpenda maendeleo itafurahisha kadi ikionesha yeye ndio mmiliki otherwise mimi sipendi kuwafanyia filmee hawa mabinti zetu.

dooh huko twitani washalipata jina la mmiliki somebody George Msambizi.nimeshindwa kufanya attachment.
ila cha kujiuliza mtu akikuuzia gari inamaana si unaweza kubadili jina kwenye kadi au utatumia jina lake?
 
Twende taratibu punguza hasira.nafuatilia mdogo mdogo; ila tutake radhi japo tupo kwenye kubangaiza😀

Sasa nwatake radh kwa lp jamani?we endelea kubangaiza
 
dooh huko twitani washalipata jina la mmiliki somebody George Msambizi.nimeshindwa kufanya attachment.
ila cha kujiuliza mtu akikuuzia gari inamaana si unaweza kubadili jina kwenye kadi au utatumia jina lake?

Kubadili jina kwenye kadi ni shilling 50,000/= tu. Na ni process ambayo haizidi nusu saa.
Dinazarde haya Filamu imeanza huku.
 
Last edited by a moderator:
dooh huko twitani washalipata jina la mmiliki somebody George Msambizi.nimeshindwa kufanya attachment.
ila cha kujiuliza mtu akikuuzia gari inamaana si unaweza kubadili jina kwenye kadi au utatumia jina lake?

Wacha movie iendelee
 
Kubadili jina kwenye kadi ni shilling 50,000/= tu. Na ni process ambayo haizidi nusu saa.
Dinazarde haya Filamu imeanza huku.

Nimeshaona kitambo na watu tunajua nini kinaendeleaa wacha movie iendeleee wanajitahidi kuwapata isidingo watu wapo location bado
 
Last edited by a moderator:

Teh teh unadhani gari mata.ko kusema kila mtu anayoo, wanaume nao wanahonga chipsi na soda basiiii wakijitahidi utanunuliliwa kuku nyota ya mbwa kutembea bila viatuuu
Jamani usukumani narudi nyumbani ni nyumbani hata pawe kichakaniii
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…