Wapenzi wakigombana mnabeba jembe mkalime wakipatana mnabeba kapu kwenda kuvuna..
Maana watu walikaa kusubiria leo itakuwaje..
Waliokuwa wanasema Menina ana mimba nendeni mkale ndim....vikao vya harusi kiko wapi......
So touching words from Chibu
Ana 26by the way Wema kafikisha miaka mingapi jaman icje kua 21 lols!
26 at last....
Kumbe miaka yake haijasimama...
Nilipata presha eti dimondo anamuoa menina!! Jamani nyie tuwaache na mahaba yao.
Hapo ujue kuna miaka 3 au miwili imerukwaa, mi nilijua bado 22 ile ile,kapendeza mwenyewe
Ndiyo wakome kuingilia mapenzi ya watu. Maana watu maneno yaliwatoka humu ndani ooh wameachana ooh Menina anaolewa sijui vikao vimeanza. Kiko wapi sasa. Waacheni watoto wa watu wao ndiyo wanajua mwisho wao na siyo watu wa pembeni.
Angalau kaisogeza sogeza mbele kidogo...
Maana angedai 24....
Yap, kapendeza.... na sherehe ya kistaarabu na sio vigodoro
Laiti kama Maneno yangelikuwa ni sumu basi amini, Penzi letu lingekuwa lishazikwa na Kuoza...Maana sjui ni kipi hakijazungumzwa.....vya furaha, Chuki, shangwe, fitina, Vita, majungu, Misukosuko na mabalaa ya kila aina....lakini siku zote tumekuwa tukipendana na kuthaminiana kama tumeanzana jana, kwakuwa tulijua si kosa lao, ni hawajui tu niwapi tulipotokea...to the world, you may be one person...But to me, you are the world, My Beautiful World...na kama kukupenda ni uwendaazimu basi ni bora Nikabaki kwenye uchizi wangu kuliko kupata Ufahamu....i may not be physically present to stand by you while you cut your cake, but youll be in my thoughts the whole day! Happy birthday Darling....mmeo niko nahangaika, bt i will be coming home soon....Love you mama
Nimekuelewa
Nikiripoti kutoka insta....
Huyu mpambaji nimemuaminia aiseeee
Very Classic...naona muke ya muuza Sembe yuko busy na kufotoa
Kitu Benz,chezea DangoteeKapewa zawadi gani wema ili wambea,wanafiki tufe kabisaa
Hujakosea,ulivyodhani ndivyoMi nilidhanj kapewa gari jamaniii,wambea wanafiki tunasubiri ndoa ya uwanja wa taifaaa kwiiiiiiiiiii
Mrs sembe Yupo busy na maphoto
Yap mpambaji apewe sifa zake aisee amefanya kazi nzuri