Haya ndio aliyosema Diamond kumtakia siku ya kuzaliwa Wema

Haya ndio aliyosema Diamond kumtakia siku ya kuzaliwa Wema

Status
Not open for further replies.
Unasema hatuna kazi tunafuatilia haya makitu mahaba:what:

Teh teh teh teh teh teh. .tena s afadhal wewe una iphone. ..wenzako walchambwa na v medtek vyao kn tenco na huawei.. qwi qwi qwi qwi
 
Aiseeeee
 

Attachments

  • 1412098198176.jpg
    1412098198176.jpg
    50.5 KB · Views: 1,634
Kubadili jina kwenye kadi ni shilling 50,000/= tu. Na ni process ambayo haizidi nusu saa.
Dinazarde haya Filamu imeanza huku.

Mpwa naona kazi ilikushinda...
Maana uliahidi kuniletea jina la mmiliki hadi sasa hivi hakuna kitu

Haya wale wenzangu na mimi ambao shingo zilikua zimewasimama kama wanaumwa degedege kadi hiyoo na jina MMELIONA haya tunasubiri maswali mengine

Ambao mnaangalia Isidingo nadhani mnaujua utamu wa Isidingo ilivyoo Mambo ya kina Katlego na Jefferson
 
Last edited by a moderator:
Hivii Muuza Sura hukukaribishwa kwenye birthday? Kwa data za kitaa nakuaminia sema unajifichaga sanaaa

wakijua wewe ni mkali zaidi yao wanakupa distance!tunavimbiana tu kibishi....hao watoto wako hivi!ukimla wema ujue diamond atamind,akimind diamond ujue rommy atamind na pia petit man atamind!wana life style flani ya kipimbi sana ndo maana watoto wakiume wanaohang na wema sepetu ni wale ambao anaweza kuwacontrol na wengine kwakuwa wanamchukulia wema namna gani vipi nao wanavutishwa ngada!.....vita baridi iko kwa wenyewe kwa wenyewe!petit man ni mpambe namba moja wa wema na vilevile ni mpambe wa kavira!kavira na diamond si kivile na ndo maana hata petit man na diamond ni kichina siyo kivile sana!inshu inakuja petit man anamkaza dada diamond na diamond anamkaza tajiri wa petit man!.............ila ujue nini?hawa malaya wa mjini wanaotaka majina hawamuwezi wema sepetu!wema ana roho moja safi sana kwa watu wake wa karibu I must admit!plus maisha yake ya kuigiza
 
wakijua wewe ni mkali zaidi yao wanakupa distance!tunavimbiana tu kibishi....hao watoto wako hivi!ukimla wema ujue diamond atamind,akimind diamond ujue rommy atamind na pia petit man atamind!wana life style flani ya kipimbi sana ndo maana watoto wakiume wanaohang na wema sepetu ni wale ambao anaweza kuwacontrol na wengine kwakuwa wanamchukulia wema namna gani vipi nao wanavutishwa ngada!.....vita baridi iko kwa wenyewe kwa wenyewe!petit man ni mpambe namba moja wa wema na vilevile ni mpambe wa kavira!kavira na diamond si kivile na ndo maana hata petit man na diamond ni kichina siyo kivile sana!inshu inakuja petit man anamkaza dada diamond na diamond anamkaza tajiri wa petit man!.............ila ujue nini?hawa malaya wa mjini wanaotaka majina hawamuwezi wema sepetu!wema ana roho moja safi sana kwa watu wake wa karibu I must admit!plus maisha yake ya kuigiza

At least you have said it............

maana kuna watu wanaonaga mabaya tu, Thanks for sharing with us
 
As long as skukuambia wewe..nashangaa ulvyoishpbokea. HHHK ushapendwa sjui, maana naona watu wako hai hai sana
..com dis way buanaa m shtaj haya wth strangers

Hivi wewe unaelewa ulichoandika nini wasiwasi hata wewe mwenyewe
ukirudia kusoma utajiuliza ulimaanisha nini
Sio kila neno linaweza kufupishwa sijui mmesoma shule gani
 
Hivi wewe unaelewa ulichoandika nini wasiwasi hata wewe mwenyewe
ukirudia kusoma utajiuliza ulimaanisha nini
Sio kila neno linaweza kufupishwa sijui mmesoma shule gani

Ghaakaa!! Hv we unajielewa kweli?? Mbna nliowaandkia hawajaneng'eneka iweje wewe?? Plpl usoila inakuwashia nn?? Dinazarde babe ulielewa nlchoandka na ukanijbu salute kwako. Kama wengne mlkmbia umande fanya mrud shule n div 5 ipo kwa watu msioelewa kama wewe.. npshage mie usntie jotrooo
 
Last edited by a moderator:
Ghaakaa!! Hv we unajielewa kweli?? Mbna nliowaandkia hawajaneng'eneka iweje wewe?? Plpl usoila inakuwashia nn?? Dinazarde babe ulielewa nlchoandka na ukanijbu salute kwako. Kama wengne mlkmbia umande fanya mrud shule n div 5 ipo kwa watu msioelewa kama wewe.. npshage mie usntie jotrooo

BRN at work..............
Nenda shule huu muda unaoutumia JF ungekua ushajifunza kuandika vizuri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom