Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
kama hujaona masuala waliyozungumzia ndiyo shida kuu ya nchi hii basi una matatizo makubwa. Una elimu tu lakini intelligence huna.Masuala gani muhimu kwa taifa zaidi ya kodi, elimu, tozo, rushwa na mambo kama hayo.
Hilo taifa kutegemea watu aina ya chadema kutuletea maendeleo basi there is no hope for the future.