Haya ndio machimbo ya bidhaa Kariakoo

[emoji122][emoji2935]
 
Asante sana. Nashukuru pia kwa kutambua Mtoa post.

Machimbo ni msaada kwa wengi hasa kwa wale ambao wanaanza Biashara na wenye mitaji midogo wasioweza kwenda China.
.
Unaweza kupata machimbo zaidi na updates za machimbo kwenye page yangu insta ya jina la @kelvinkibenje link Www.instagram.com/kelvinkibenje
 
Zingeandikwa bei elekezi.

Siyo unafika lale unakuta jinzi elfu 18 sawa sawa na anayeuza mtandaoni
 
Kitu kingine ukitaka kujua chimbo hili ndio la bei nzuri la jumla wahi mapema asubuhi ,duka utakalokuta Lina wateja wengi hasa vijana ndio best zaidi ,pia na maduka ya wachina wako cheap sana. Uzuri wa Kariakoo maduka mengi ya bidhaa zinazofanana yako eneo moja....mtu unayekwenda mara kwa mara kariakoo lazima utaiva na kujua mitaa na maduka yote yako wapi..
 
Mipira jezi na vifaa vya michezo kwa bei rahisi sio yale maduka ambayo ukienda kununua wao wanaenda kuzinguka ndio wanaleta
Therealhamis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…