Haya ndio machimbo ya bidhaa Kariakoo

Haya ndio machimbo ya bidhaa Kariakoo

Anaandika Kelvin kibenje

Wengi mmeuliza kuhusu #vijora na Madera na magauni ya batiki. utayapata Mtaa wa nyamwezi na narungombe lango la kuingilia shimoni jengo la baserona. Namba vijora +255 715 333 880

Hilo jengo pia ndio kuna magauni marefu ya aina zote na Abaya na Hijab. Ukifika panda floor ya kwanza zunguka humo.

Wale mnaotafuta Korosho nendeni soko la Kisutu utapata jumla utawakuta Wamakonde na watu wengine chukua, Brand, uza.

Apples, zabibu na baadhi ya vyakula vya matumizi ya nyumbani kama blueband,sukari, tishu, mafuta ya kupikia hupatikana mtaa wa kiungani na Sikukuu, kiungani na Sukuma

Kwa tisheti kule aggrey majengo muhimu ni pamoja na Miami, Thailand tower na J. H adson karibu na tommy touch.. Hapo pia Kuna maduka ya midoli na henga utapata.

Kama Unataka vifaa vya simu ili ufanye biashara Earphone, waya na kava za simu na screen protector nenda mtaa wa Masasi na msimbazi. ( hii biashara ni nzuti na unaweza anza na mtaji mdogo)

Machimbo ya AC, water DISPensa na mafriji ni NDANDA na MASAS pia LIKOMA NA AGREY.

Duvet, shuka za china na turubai fika kariakoo crdb bank/mkabala Kuna duka la Mchina. Amal house zipo

Wale mnaotengeza content mtandaoni mnaotaka mic za simu, taa za kurekodia (Ring Light) , selfie stick nenda jengo la msimbazi namba +255 655 724 009

Mashuka kama vile (king size,Shuka uganda,Shuka za Nida) Mataulo, Neti Aina zote, Maduvet, Mapazia, Mito, Fimbo za mapazia Ni Mtaa wa mchikichi na Swahilli kwa Big_Man Stores utapata namba yake +255 744 334 554

Kazi imebaki kwako kufanya biashara. Hakikisha una save hii post iki ikusaidie siku Ukihitaji hizi bidhaa au siku ukienda Kariakoo.

Machimbo yote hayo ni uhakika wa bei nzuri na usalama wa kupata mzigo wako.

Kumbuka kwenye group utapata machimbo yote hivyo jiunge leo pia Utajifunza kuagiza china mwenyewe na kupata number za supplier wa china. Kujiunga na group la whatsapp darasa la May Tuma ada yako Tsh 10,000 kwenda 0762815104 kisha tuma message whatsapp kwa namba hiyo hiyo nikuadd kwa group la mafunzo.

Machimbo yamesaidia wengi mno kuanza biashara na kuongeza mauzo kutokana na kupata bidhaa za uhakika bei nzuri.

Part 2
Tunaendelea tulipoishia...
.
Wale mnauliza vifungashio na mifuko mbalimbali Nendeni mtaa wa Tandamti na swahili opposite Na linapojengwa soko jipya.
.
Vifaa vya ushonaji utavipata Makutano ya mtaa wa Nyamwezi na mkunguni
.
Cherehani ni zinapopaki daladala za masaki_gerezani.
.
Vifaa vya kilimo na madawa ya kilimo ni mtaa huo huo wa nyamwezi na mkunguni yapo maduka mengi.
.
Aya, msimu wa Ligi unaanza na jezi zitanunuliwa sana, kuna chimbo ana jezi za timu zote mpaka za saudi. Chimbo liko mtaa wa Narung'ombe na congo. Lipo uchochoro ambapo lipo duka la @welldone_turkish_fashions Huyu welldone yeye ana mashati yale Quality na mimi huchukua hapo.
.
Kona ya Nyamwezi na Pemba utapata maduka ya vitambaa ( fabrics). Pia mtaa wa mkunguni.
.
Makutano ya mtaa wa Narung'ombe na livingstone vifaa vya magari. Mtaa wote huo ni vifaa vya magari. Pia mtaa wa lumumba vifaa vya magari ila zaidi urembo wa magari.
.
Jeans chambuu, Boyfriend jeans zilizo kwenye Fashion na makoti ya jeans SPESHO ni Kariakoo opposite na Bigbon 0767637399
.
Perfume wengi mnauliza fika mtaa wa mkunguni na bonde kariakoo 0719909042
.
Vifaa vyote vya simu ingia mtaa wa likoma na Aggrey, huu mtaa ingia yale maduka ya Ndanindani yale utafurahi.
.
Vyombo vya tani vizito +255 675 092 742
.
Vidani, nakshinakshi, cheni, hereni ingia mtaa wa mchikichi na sikukuu. Unaweza kufika kwa huyu +255718875987
.
Mashuka ya uganda na Duvert utayapata kwa @mam__mashuka__store yuko msimbazi 0717 313 792
.
Wengi pamoja na kuwafundisha kuagiza china wenyewe bado imekua mitihani, aya Wale mnaotaka kuagiza china kupitia Kampuni yetu ya Finbuy sasa unaweza kuagiza tembelea @machimbo_kariakoo_china @finbuy_tz
.
Barabara ya uhuru Jengo la Nhc plot 19/54 hapo kuna godawn kubwa la magodoro
.
Vitambaa vya jora Ndanda na narung'ombe kuna maduka mengi hapo jumla.
.
Unaweza kufika mitaa Hiyo kupata hayo Mahitaji ili kuanza Biashara yako.

Wale wa mikoani ukifika mara moja unaweza kufanya tafiti zako na kupata chimbo sahihi kwako. Ambao hamuwezi kufika tutawasaidia namba za chimbo kupitia groups zetu za whatsapp.
.
Save itakusaidia na share kwa rafiki yako mpambanaji.
.
Chimbo gani unaongeza sahihi? Lipi bado unatafuta.?
.
Machimbo mengine tuendelee Kwenye comments.
Asante ndugu umeshanisaidia nilikuw nahitaji biashara moja umeieleza na kuandika mawasiliano nimeshaongea na mwenye namba bado kumtuma mtu wangu kufuata.
 
Anaandika Kelvin kibenje

Wengi mmeuliza kuhusu #vijora na Madera na magauni ya batiki. utayapata Mtaa wa nyamwezi na narungombe lango la kuingilia shimoni jengo la baserona. Namba vijora +255 715 333 880

Hilo jengo pia ndio kuna magauni marefu ya aina zote na Abaya na Hijab. Ukifika panda floor ya kwanza zunguka humo.

Wale mnaotafuta Korosho nendeni soko la Kisutu utapata jumla utawakuta Wamakonde na watu wengine chukua, Brand, uza.

Apples, zabibu na baadhi ya vyakula vya matumizi ya nyumbani kama blueband,sukari, tishu, mafuta ya kupikia hupatikana mtaa wa kiungani na Sikukuu, kiungani na Sukuma

Kwa tisheti kule aggrey majengo muhimu ni pamoja na Miami, Thailand tower na J. H adson karibu na tommy touch.. Hapo pia Kuna maduka ya midoli na henga utapata.

Kama Unataka vifaa vya simu ili ufanye biashara Earphone, waya na kava za simu na screen protector nenda mtaa wa Masasi na msimbazi. ( hii biashara ni nzuti na unaweza anza na mtaji mdogo)

Machimbo ya AC, water DISPensa na mafriji ni NDANDA na MASAS pia LIKOMA NA AGREY.

Duvet, shuka za china na turubai fika kariakoo crdb bank/mkabala Kuna duka la Mchina. Amal house zipo

Wale mnaotengeza content mtandaoni mnaotaka mic za simu, taa za kurekodia (Ring Light) , selfie stick nenda jengo la msimbazi namba +255 655 724 009

Mashuka kama vile (king size,Shuka uganda,Shuka za Nida) Mataulo, Neti Aina zote, Maduvet, Mapazia, Mito, Fimbo za mapazia Ni Mtaa wa mchikichi na Swahilli kwa Big_Man Stores utapata namba yake +255 744 334 554

Kazi imebaki kwako kufanya biashara. Hakikisha una save hii post iki ikusaidie siku Ukihitaji hizi bidhaa au siku ukienda Kariakoo.

Machimbo yote hayo ni uhakika wa bei nzuri na usalama wa kupata mzigo wako.

Kumbuka kwenye group utapata machimbo yote hivyo jiunge leo pia Utajifunza kuagiza china mwenyewe na kupata number za supplier wa china. Kujiunga na group la whatsapp darasa la May Tuma ada yako Tsh 10,000 kwenda 0762815104 kisha tuma message whatsapp kwa namba hiyo hiyo nikuadd kwa group la mafunzo.

Machimbo yamesaidia wengi mno kuanza biashara na kuongeza mauzo kutokana na kupata bidhaa za uhakika bei nzuri.

Part 2
Tunaendelea tulipoishia...
.
Wale mnauliza vifungashio na mifuko mbalimbali Nendeni mtaa wa Tandamti na swahili opposite Na linapojengwa soko jipya.
.
Vifaa vya ushonaji utavipata Makutano ya mtaa wa Nyamwezi na mkunguni
.
Cherehani ni zinapopaki daladala za masaki_gerezani.
.
Vifaa vya kilimo na madawa ya kilimo ni mtaa huo huo wa nyamwezi na mkunguni yapo maduka mengi.
.
Aya, msimu wa Ligi unaanza na jezi zitanunuliwa sana, kuna chimbo ana jezi za timu zote mpaka za saudi. Chimbo liko mtaa wa Narung'ombe na congo. Lipo uchochoro ambapo lipo duka la @welldone_turkish_fashions Huyu welldone yeye ana mashati yale Quality na mimi huchukua hapo.
.
Kona ya Nyamwezi na Pemba utapata maduka ya vitambaa ( fabrics). Pia mtaa wa mkunguni.
.
Makutano ya mtaa wa Narung'ombe na livingstone vifaa vya magari. Mtaa wote huo ni vifaa vya magari. Pia mtaa wa lumumba vifaa vya magari ila zaidi urembo wa magari.
.
Jeans chambuu, Boyfriend jeans zilizo kwenye Fashion na makoti ya jeans SPESHO ni Kariakoo opposite na Bigbon 0767637399
.
Perfume wengi mnauliza fika mtaa wa mkunguni na bonde kariakoo 0719909042
.
Vifaa vyote vya simu ingia mtaa wa likoma na Aggrey, huu mtaa ingia yale maduka ya Ndanindani yale utafurahi.
.
Vyombo vya tani vizito +255 675 092 742
.
Vidani, nakshinakshi, cheni, hereni ingia mtaa wa mchikichi na sikukuu. Unaweza kufika kwa huyu +255718875987
.
Mashuka ya uganda na Duvert utayapata kwa @mam__mashuka__store yuko msimbazi 0717 313 792
.
Wengi pamoja na kuwafundisha kuagiza china wenyewe bado imekua mitihani, aya Wale mnaotaka kuagiza china kupitia Kampuni yetu ya Finbuy sasa unaweza kuagiza tembelea @machimbo_kariakoo_china @finbuy_tz
.
Barabara ya uhuru Jengo la Nhc plot 19/54 hapo kuna godawn kubwa la magodoro
.
Vitambaa vya jora Ndanda na narung'ombe kuna maduka mengi hapo jumla.
.
Unaweza kufika mitaa Hiyo kupata hayo Mahitaji ili kuanza Biashara yako.

Wale wa mikoani ukifika mara moja unaweza kufanya tafiti zako na kupata chimbo sahihi kwako. Ambao hamuwezi kufika tutawasaidia namba za chimbo kupitia groups zetu za whatsapp.
.
Save itakusaidia na share kwa rafiki yako mpambanaji.
.
Chimbo gani unaongeza sahihi? Lipi bado unatafuta.?
.
Machimbo mengine tuendelee Kwenye comments.
Mkuu machimbo ya vigari, visimu, vishada, visimu vimask vya watoto yapo mitaa gani?
 
Naona uzi umepoa. Ngoja nishushe vitu.
.
Unataka Kufanya Biashara ya Vyombo vya plastiki kama viti, meza, vikombe, majagi, mabeseni nk. maduka ya viwanda yapo kariakoo mtaa wa Livingstone na Aggrey mpaka mchikichi na mahiwa close huko utapata kwa bei nzuri na ukiuza utapata faida nzuri.
...
Vyombo vingine utavipata mtaa wa Aggrey na livingstone
.
Maua bandia utayapata mtaa wa Aggrey na sikukuu. Hapo kuna mchina yuko opposite na Bank ya NCBA.
.
Nguo za wanawake kama T_shirt skins, Bwanga, tops, gauni utapata mtaa wa Raha na Muhonda zaidi ingawa maduka ya nguo za wanawake yameganyika mitaa mbalimbali sana.
.
Vijora, Mitandio, Abaya na baibui utavipata mtaa wa nyamwezi na Narung'ombe jengo la Barcelona floor ya pili.
.
Nguo za wanaume kama suit, jeans, Track, shati, T_shirt, kadeti nk utavipata jengo la Mchikichi complex.
.
Shati quality za kiume chimbo ni kwa @welldone_turkish_fashions congo na narung'ombe
.
Pochi kariakoo makutano ya likoma na muhonda
.
Vifungashio kama makopo, chupa, mifuko, mabox ya bidhaa aina zote utapata mtaa wa Tandamti na sikukuu
.
Mnaulizia sana mtumba Grade A kuna marafiki zangu wanaleta mtumba mzuri ambao huwezi kujutia wako ilala Boma
.
Wale wa mtaji mdogo nenda ilala boma saa 11 asubuhi utapata mtumba ata nguo za 1000 ukauze minadani
.
Viatu vya kike vipo mtaa wa congo na narung'ombe, ukienda saa 11 asubuhi utajua machimbo ya wachina maana wengi wanashusha kutoka stoo asubuhi.
.
Viatu Vya kiume vipo Nyamwezi na Narung'ombe. Lakini ukihitaji viatu vya Mtumba hivyo utavipata mtaa wa Karume, nenda pia asubuhi saa 11.
.
Unahitaji Nywele, unahitaji rasta nenda mtaa wa jangwani na mafia. Huko kuna maduka mengi na mawakala wa viwanda vya rasta. Ni ule mtaa zinapopaki Daladala za makumbusho gerezani.
.
Kwa upande wa Vipodozi aina zote pia nenda huu mtaa wa Mafia na Jangwani hapo kuna duka maarufu la @kariakoovipodozi utapata vipodozi.
.
Lakini tusikalili kuna Machimbo mengine hayapo kariakoo ila wanashusha mizigo kwa bei ya chini na kuweka stoo.
.
Turudi kariakoo, mtaa huu wa mchikichi na nyamwezi kuna duka kubwa la vifaa na nguo za watoto wachanga, yaani nguo, mabeseni, matoroli, babyshioo, pot aina zote nk. Hilo jimbo kama una duka la watoto na wajawazito utanishukuru.
.
Mashuka ya uganda nenda kwa mchina opposite na Bank ya Crdb
.
Nguo za ndani Nenda makutano ya mtaa wa mchikichi na sikukuu. Hapo kuna duka kubwa mno utapata nguo za ndani jumla kwa aina zote.
.
Kuna Chimbo Waturuki wana vyombo imara vizuri vya kituruki pia wanakopesha kwa wenye maduka. Ni vizuri hata kwa matumizi binafsi
Chimbo gani lingine unaongeza lipi unatafuta? Endelea kwenye comments
.
Unataka number zao? Sijui kama hapa inaruhusiwa ila instagram kwenye page yangu ya @kelvinkibenje utapata machimbo yote na Number zao
 

Attachments

  • Screenshot_20231012-005812.jpg
    Screenshot_20231012-005812.jpg
    240.5 KB · Views: 82
Chimbo la plumbing material and sanitary ware
 
Chimbo la plumbing material and sanitary ware
nenda gerezani kwa imma ukifika maeneo hayo ndipo hardware zilipo mpaka unakaribia kidongo chekundu zote ni hardware utapata unachotaka hapo
 
Viatu vya kike vipo mtaa wa congo na narung'ombe, ukienda saa 11 asubuhi utajua machimbo ya wachina maana wengi wanashusha kutoka stoo asubuhi.
.
hapa waende mtaa wa narung'ombe ddc frame no 42 ukifika tizama jengo la upande wa pili zimo meza za chinga kama 11 wanaouza jumla kwa kukata kuanzia pc 3,5,6,10 kuendelea kwa wale wenye mtaji mdogo a,mbao hawamudu caton kwa mchina NB ukifika hapo ulizia dada anaitwa sweet manka ama jamaa anaitwa mourinho ndipo pa simpo shoes.
na pia ukitaka kujua wachina wako wapi utaoneshwa pia mfano EXELLENT, MERU.F.S, YOUNG FEY MAUA,SHOWS,LILIDAS,FASHION NK.
 
hapa waende mtaa wa narung'ombe ddc frame no 42 ukifika tizama jengo la upande wa pili zimo meza za chinga kama 11 wanaouza jumla kwa kukata kuanzia pc 3,5,6,10 kuendelea kwa wale wenye mtaji mdogo a,mbao hawamudu caton kwa mchina NB ukifika hapo ulizia dada anaitwa sweet manka ama jamaa anaitwa mourinho ndipo pa simpo shoes.
na pia ukitaka kujua wachina wako wapi utaoneshwa pia mfano EXELLENT, MERU.F.S, YOUNG FEY MAUA,SHOWS,LILIDAS,FASHION NK.
Mkuu, naomb msaada wa kupata çhimbo la simu (bei ya jumla)
 
Mkuu, naomb msaada wa kupata çhimbo la simu (bei ya jumla)
sawa simu za aina gani hizi za smart ama hizi ndogo zwa viswaswadu au zote. kama upo kariakoo nitafute nikupeleke moja ya duka za jumla pia ujumue mwenyewe255784705349,255674846674
 
Alipokosea utume 10,000 uungwe kwenye group la whatsapp.
Hivi,alipoandika mada hiyo,hakutumia bando lake au muda wake? Akuelekeze,upate faida,bule tu. Wakati kuna ambaye angeweza kwenda na akaibiwa! Af,kukuunga group hilo,umejiuliza kuna faida gani? Unapokua na watu mbali mbali,hata mawazo utapata. Maswali utauliza,utajibiwa.
Wangapi wamefaidika na andiko lake?
Lakini lingekuwa group la kudinya, hata 50k mngetoa.
 
sawa simu za aina gani hizi za smart ama hizi ndogo zwa viswaswadu au zote. kama upo kariakoo nitafute nikupeleke moja ya duka za jumla pia ujumue mwenyewe255784705349,255674846674
Zote mkuu
 
Back
Top Bottom