Wakati mwingine nafikiria ni kama hatujui tunachotaka hasa. Mkeo au demu wako akiwa slim ("english figure "), unachepuka na mibonge/" Bantu"......kama mweusi /chocolate, unatamani weupe na vice versa.
Kuna jamaa yangu mmoja alitamani ati aonje tu "zeruzeru"! Jamaa mwingine nilimkuta sehemu akawa anasimulia namna anavyopenda viwete......nikashangaa sana!
Haturidhiki kabisa. Labda tumeumbwa hivyo? Not sure.