Haya Ndio Maelezo Aliyotoa Mange Kimambi Kuhusu Tatizo La Msanii Kabula!

Haya Ndio Maelezo Aliyotoa Mange Kimambi Kuhusu Tatizo La Msanii Kabula!

PROF NDUMILAKUWILI

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2016
Posts
10,518
Reaction score
13,144
Bila kupepesa maelezo mwana mama Mange Kimambi amefunguka haya kuhusu tatizo la kiafya la msanii "Kabula"
e4dc1a23ec8a866fef39a20b022e6e91.jpg
539e2bb5c9e1dcfd3cb8a16de160a22e.jpg
1f3307ad8ef3e832831a98017387acf1.jpg


-Ndumilakuwili-
 
nitarudi dar 2020 hio ndo kauli mbiu ya ...
 
Chizi akichukua taulo lako endelea kuoga unapomkimbiza matokeo ndio haya!
 
Kwani chizi mpaka aokote makopo?
let's say "sio chizi ana act"

ila mjue kuwa kuna chizi na mtu aliechanganyikiwa...
mtu aliechanganykiwa wamejaa mjini wengi sanaa
ikiwemo yeye Mange...na sidhani kama kuna mtu hajawahi kuchanganyikiwa katika jambo lolote lile ,sema tu hali huwaga sio endelevu unachanganyikiwa kwa dakika kadhaa tu au lisaa(kwa nfano umepotelewa na kitu cha thamani kama Gari limeibiwa unaanza kutafuta kwenye mfuko wa suruali)

mimi nmewahi kuwa na best yangu alichanganyikiwa mpaka leo anatumia dozi zao hizo,
ni kwamba anavaa vizuri anajipanba kabisa lakini maongez yake hayaeleweki....
siku aloanza kuchanganyikiwa alikujaga home akatukana sana yani anakua kama mtu alievuta bangi lakini wala hajavuta kila kitu kwake yeye kikimtuma ni sawa.

tukapeleka muhimbili wakampima kama anatumia madawa,Au pombe lakini wapi hakuna kitu. Basi wakampa dawa anatumia hadi leo katulia huwezi kudhani.

kwahiyo yawezekana hata huyu dada anaweza kuwa kachanganyikiwa au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa hana kazi za kufanya huyu ?

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom