Haya Ndio Maelezo Aliyotoa Mange Kimambi Kuhusu Tatizo La Msanii Kabula!

Haya Ndio Maelezo Aliyotoa Mange Kimambi Kuhusu Tatizo La Msanii Kabula!

Tatizo la hawa madada zetu wa kibongo ni kwamba hawajitambui. Walizoea kutunzwa kwa pesa za wizi walizokuwa wanahongwa na midume uchwara isiyojiambua, mtu utampangiaje changudoa nyumba ikiwa wewe mwenyewe wazazi wako hawana nyumba huko kijijini? Inawezekan huyu ana-act tu ili apate kujikongoja aanze tena mbwembwe zake. Hata siku moja kichaa hawezi kwenda kwenye media kujitambulisha kuwa yeye kichaa.
 
Kwani chizi mpaka aokote makopo?
let's say "sio chizi ana act"

ila mjue kuwa kuna chizi na mtu aliechanganyikiwa...
mtu aliechanganykiwa wamejaa mjini wengi sanaa
ikiwemo yeye Mange...na sidhani kama kuna mtu hajawahi kuchanganyikiwa katika jambo lolote lile ,sema tu hali huwaga sio endelevu unachanganyikiwa kwa dakika kadhaa tu au lisaa(kwa nfano umepotelewa na kitu cha thamani kama Gari limeibiwa unaanza kutafuta kwenye mfuko wa suruali)

mimi nmewahi kuwa na best yangu alichanganyikiwa mpaka leo anatumia dozi zao hizo,
ni kwamba anavaa vizuri anajipanba kabisa lakini maongez yake hayaeleweki....
siku aloanza kuchanganyikiwa alikujaga home akatukana sana yani anakua kama mtu alievuta bangi lakini wala hajavuta kila kitu kwake yeye kikimtuma ni sawa.

tukapeleka muhimbili wakampima kama anatumia madawa,Au pombe lakini wapi hakuna kitu. Basi wakampa dawa anatumia hadi leo katulia huwezi kudhani.

kwahiyo yawezekana hata huyu dada anaweza kuwa kachanganyikiwa au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli kachanganyikiwa hayuko sawa
Anaeweza kumsaidia amsaidie ackataze watu kutoa Msaada
Mrembo km huyu hawezi kujifanyisha kachanganyikiwa kwa shida? hapana huyu amepata matatizo hayuko vizur Mungu amsaidie arudi ktk hali yke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama ongea na mwanao inafanya kazi mwingine ni naye haaishi kuwa hospital pressure juu kila leo ss mama anaongea na wanae mtulie tuli mchukue maagizo
 
Mange akili kubwa si chizi ila anawapata na kuwapaka machizi kiukweli kweli.Tuko mbioni kukutafutia nishani ya unenaji na ukweli,Kwani kwenye anga za kuangaza mambo makuu kuu makubwa nakupa BIG UP ! nakukubali sana kwa ujasiri Mange.Uko vizuri mtoto wa Kipare uzao wako uko juu.Songa mbele Tanzania ya Magu inakumulika haikuoni wala hakupati.Uko kila kona za usiri ndani ya TZ,Una wengi nyuma yako wanaokukubali usitishike wape vibonzo vyao !
 
Bila kupepesa maelezo mwana mama Mange Kimambi amefunguka haya kuhusu tatizo la kiafya la msanii "Kabula"
e4dc1a23ec8a866fef39a20b022e6e91.jpg
539e2bb5c9e1dcfd3cb8a16de160a22e.jpg
1f3307ad8ef3e832831a98017387acf1.jpg


-Ndumilakuwili-
KKKHHHAAAAAAA....!!!!!!!!
 
Nikweli kachanganyikiwa hayuko sawa
Anaeweza kumsaidia amsaidie ackataze watu kutoa Msaada
Mrembo km huyu hawezi kujifanyisha kachanganyikiwa kwa shida? hapana huyu amepata matatizo hayuko vizur Mungu amsaidie arudi ktk hali yke

Sent using Jamii Forums mobile app
Walidhani Mjini unaishi kilelemama watadata wengi mwaka huu
 
Duh! Yaani Mange anamwita mwenzake malaya aliechina na wakati sioni tofauti zao, kweli kuhukumu ni kazi rahisi sana
 
Huyu Mange kasema anachokiamini kazi ni kwenu sasa kumpeleka kumpeleka Kabula milembe au aje shamba tulime.

mafisadi hayana rangi
 
Back
Top Bottom