Waliokulia mjini na ambao ni wajanja choice zao zikoje?Itakuwa umekulia kijijini wewe. Kwa list hiyo!!! ushamba tu unakusumbua.
Itakuwa umekulia kijijini wewe. Kwa list hiyo!!! ushamba tu unakusumbua.
Tupe madin mkuu. Naielewa sana hio na probox manualFielder all the way
Nashukuru sana. Ila plan yangu ni kununua showroom moja kwa moja au kuagiza Japan au Singapore moja kwa moja.
Asante sana
Una Miliki Gari gani Boss hilo lililokutia Kidole😀😀 mpaka linakupa Stress hivyo?Spare hamna, jitieni vidole tu kutafuta sifa zisizo na ulazima.
Achana na Gari za Singapore Tajiri usipagawe na zile after markert modification,agiza Japan utanishukuru.Nashukuru sana. Ila plan yangu ni kununua showroom moja kwa moja au kuagiza Japan au Singapore moja kwa moja.
Asante sana
Umeongea hoja kabisa. Humu mitaandaoni kuna kutishana kusiko na sababu na mwingine anakupa ushauri kumbe kasikia tu mahali, hana uzoefu wowote.. Nilishwa kuhusu Nissan .. Ninayo mwaka wa nne, service naweza fanya nikikumbuka haizidi mara mbili kwa mwaka , na nadunda nayo vizuri.... Fuata gari ya ndoto yako usisikilize maneno ya mtaani.mkuu unasubiri elimu kutoka kwa maskini aliejikatia tamaa?
iko hivi ukiona mtu anakuambia gari fulani inazingua jua yeye mfuko wake ndio unazingua wabongo tunaunga unga sana mambo nissan hazihitaji ubahili na kikizingua kitu toa funga kipya asikutishe mtu hakuna gari mbaya wala inayozungua kama inafanyiwa sevisi vizuri kingine kinachotuangusha ni mafundi nao hawaendi na wakati hawajifunzi mambo mapya kwahyo kuna changamoto kwao kutojua namna ya kurekebisha gari za kisasa
✊✊mkuu unasubiri elimu kutoka kwa maskini aliejikatia tamaa?
iko hivi ukiona mtu anakuambia gari fulani inazingua jua yeye mfuko wake ndio unazingua wabongo tunaunga unga sana mambo nissan hazihitaji ubahili na kikizingua kitu toa funga kipya asikutishe mtu hakuna gari mbaya wala inayozungua kama inafanyiwa sevisi vizuri kingine kinachotuangusha ni mafundi nao hawaendi na wakati hawajifunzi mambo mapya kwahyo kuna changamoto kwao kutojua namna ya kurekebisha gari za kisasa
Una jicho na matanio yanayofanana na yangu boss japo tunapishana kwenye mipangalio1. Nissan Qashqai
2. Nissan X-Trail ya 2014
3. Honda CR-V
4. Hyundai Tucson
5. KIA Sportage
6. KIA Sorento
7. Mazda CX-5
Nitapambana mpaka nilitie mkononi gari moja.
1. Nissan Qashqai
2. Nissan X-Trail ya 2014
3. Honda CR-V
4. Hyundai Tucson
5. KIA Sportage
6. KIA Sorento
7. Mazda CX-5
Nitapambana mpaka nilitie mkononi gari moja.
Kwanini mzee? Mbona mi nina Xtrail ya mwaka 2005 ninakula nayo kazi na kwenda nayo hadi shamba mwaka wa 8 sasa hazina changamoto yoyote.Nissan [emoji777]
Nissan [emoji777]
Nissan [emoji777]
Nissan [emoji777]