mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Wakurya kweli nimeshuhudia mkurya mmoja mtaani kwetu ni jeuri/kiburi/dharau akiamua kufanya jambo huna cha kumtisha,mpige aina zote za vipondo,mpige hata na mapanga mwenzako wala hashtukiMkurya anashika namba 1 mpaka 10 wengine ni kawaida tu kila mwanadamu anayo ile 'ego' mnasema