USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
1. Wenye kazi vs wasio na kazi
Hasa vijana waliomaliza vyuo vikuu dhidi ya waliopo kazini ni kuoneana kijicho.
2. Waliosoma vs walioukumbia umande
Utasikia jamaa kasoma ila hamna kitu bora ambao hatukusoma
3. Wenye ndoa vs wasio na ndoa
Mtaani ni noma hii ligi ni kuoneana vijicho hasa wanawake
4. WanaCCM wanaonufaika na kuwepo chamani vs wanaCCM wapiga debe bila kupata chochote
5. Waliokula maisha kipindi cha Kikwete vs wanao kula maisha sasa
Pitia wall za Membe na wenzake
6. Wenye magari na nyumba vs dhidi ya wasionacho ,hii ligi ni asubuhi tukiwa tunawahi kazini ukimpita analialia na mwisho wa mwaka
7. Wanaosomesha watoto English medium vs kayumba wakiona watoto wa wenzao wanashushwa na magari wanakuwa na povu
CHUKI INAZIDI KUKUA KWENYE TAIFA HILI
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa vijana waliomaliza vyuo vikuu dhidi ya waliopo kazini ni kuoneana kijicho.
2. Waliosoma vs walioukumbia umande
Utasikia jamaa kasoma ila hamna kitu bora ambao hatukusoma
3. Wenye ndoa vs wasio na ndoa
Mtaani ni noma hii ligi ni kuoneana vijicho hasa wanawake
4. WanaCCM wanaonufaika na kuwepo chamani vs wanaCCM wapiga debe bila kupata chochote
5. Waliokula maisha kipindi cha Kikwete vs wanao kula maisha sasa
Pitia wall za Membe na wenzake
6. Wenye magari na nyumba vs dhidi ya wasionacho ,hii ligi ni asubuhi tukiwa tunawahi kazini ukimpita analialia na mwisho wa mwaka
7. Wanaosomesha watoto English medium vs kayumba wakiona watoto wa wenzao wanashushwa na magari wanakuwa na povu
CHUKI INAZIDI KUKUA KWENYE TAIFA HILI
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app