William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
"Kuifufua Tanganyika ni Kuiua Tanzania,Sikubaliani Kabisa na Swala hili,Kwa Sifa tu na Uroho wa Madaraka na huku Wakishabikiwa na Mazuzu kuna watu Watafanya Kila hila Zanzibar Ijitenge na Tanganyika,Nasema Dhambi hii ya Utengano na Iwatafune,Naomba Mungu anisamehe,Hakika Dhambi ya Utengano na Iwatafute hawatabaki Salama" - By.Mwl.Julius Nyerere.