William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
"Kuifufua Tanganyika ni Kuiua Tanzania,Sikubaliani Kabisa na Swala hili,Kwa Sifa tu na Uroho wa Madaraka na huku Wakishabikiwa na Mazuzu kuna watu Watafanya Kila hila Zanzibar Ijitenge na Tanganyika,Nasema Dhambi hii ya Utengano na Iwatafune,Naomba Mungu anisamehe,Hakika Dhambi ya Utengano na Iwatafute hawatabaki Salama" - By.Mwl.Julius Nyerere.
Kumbe mnamkuka tu kuhusu muungano vipi kuhusu rushwa, ufisadi na uhujumu mali za uma?
- Mkuu hebu rudia tena unasema nini hasa? Wapi umeshindwa kuyaelewa haya maneno mbona yapo very clear na to the point, au?
Le Mutuz
Mimi na nina hakika tupo wengi tu hatuutakki muungano lakini si kwa nia ya kutaka vyeo au madaraka kwa hiyo maneno yake hayo hayatuhusu. Anayewalenga yeye ni wale wanaotaka kuuvunja muungano kwa ajili ya vyeo na madaraka.
- Mkuu hebu rudia tena unasema nini hasa? Wapi umeshindwa kuyaelewa haya maneno mbona yapo very clear na to the point, au?
Le Mutuz
mbona wakati waznz wanabadili katiba yao hukuwapelekea waraka huu
"Kuifufua Tanganyika ni Kuiua Tanzania,Sikubaliani Kabisa na Swala hili,Kwa Sifa tu na Uroho wa Madaraka na huku Wakishabikiwa na Mazuzu kuna watu Watafanya Kila hila Zanzibar Ijitenge na Tanganyika,Nasema Dhambi hii ya Utengano na Iwatafune,Naomba Mungu anisamehe,Hakika Dhambi ya Utengano na Iwatafute hawatabaki Salama"
- By.Mwl.Julius Nyerere. [\Quote]
wakati akiongea hayo kulikuwa na nchi moja na serikali mbili. sasa kuna nini?
Achana na ushabiki wa huyu Mzee, Mbona hakutaka kuizika Zanzibar tukawa nchi moja ya Tanzania ? Makosa aliyoyafanya kwa kutoizika Zanzibar ndo yanatu cost hizi vurugu zote , Kama unataka muungano wa kweli shabikia Tanzania moja ya nchi moja na serikali moja